Xuma
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 683
- 196
Nimesikia tetesi kuwa Ndg. Oscar Mukassa ambaye ni mgombea ubunge Biharamulo Magh. kupitia CCM amepandishwa kizimbani Kwa kutoa nyaraka (vyeti) feki alivotengeza mwenyewe kuonyesha kuwa mgombea ubunge jimbo hilohilo kwa tiketi ya CHADEMA Dr. Victor ambaye kitaaluma ni daktari wa kutibu wangonjwa hospitalini kuwa ni dokta feki.
Kama kuna mtu anadata au anaweza kuwa na source ya kuaminika tujulishe jamani.
Kama kuna mtu anadata au anaweza kuwa na source ya kuaminika tujulishe jamani.