Majaji wa Kinaijeria Zanzibar

WomanOfSubstance

JF-Expert Member
May 30, 2008
5,457
956
Katika kipindi cha Utawala wa Salmin Amour, Zanzibar iliwahi kuajiri majaji wa Kinaijeria.Najua pia kuwa Tanzania hupeleka majaji kufanya kazi visiwa vya Shelisheli kwa sababu, kutokana na udogo wa kisiwa na ukaribu wa wananchi, kwa maana karibu kila mtu anahusiana na mwingine, kuajiri washelisheli kutapelekea haki isionekane kutendeka.Kuna uwezekano wa jaji kuhusiana na wenye kesi.
Sasa kwa ishu ya Zanzibar, kilichopelekea kuajiri majaji wa kinaijeria ni nini? Na je utaratibu huu unaendelea?

Mwenye ufahamu mzuri wa hili swala nitaomba atujuze.
 
Katika kipindi cha Utawala wa Salmin Amour, Zanzibar iliwahi kuajiri majaji wa Kinaijeria.Najua pia kuwa Tanzania hupeleka majaji kufanya kazi visiwa vya Shelisheli kwa sababu, kutokana na udogo wa kisiwa na ukaribu wa wananchi, kwa maana karibu kila mtu anahusiana na mwingine, kuajiri washelisheli kutapelekea haki isionekane kutendeka.Kuna uwezekano wa jaji kuhusiana na wenye kesi.
Sasa kwa ishu ya Zanzibar, kilichopelekea kuajiri majaji wa kinaijeria ni nini? Na je utaratibu huu unaendelea?

Mwenye ufahamu mzuri wa hili swala nitaomba atujuze.

Kwa sababu zanzibar imeamua hivyo sasa kama kuna tatizo lieleze
 
Back
Top Bottom