Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mgombea wa urais wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Dr. Wilibrod Slaa amesema; Uamuzi wa CCM kukataza wagombea wake kushiriki midahalo ya kisiasa ni aibu kwa mwelekeo wa demokrasia...
0 Reactions
91 Replies
8K Views
Kweli raia wema wana mkamata mwalifu wanampeleka kwenye vyombo vya sheri kisha mahakama inamuhukumu kutoa faini ya shilling 5000 tena. Mgeni anachana pesa yetu ambayo ndio harama ya Taifa kisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwenzenu nina masikitiko makubwa sana! Nimetoka kumsikiliza mbunge mmoja wa Marekani akisimulia ambavyo nchi yake ilikampeni na kutenga karibu Milioni 23 (kama si bilioni) dola za kimarekani...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
ndugu zangu, naombeni maoni yenu kuhusu gazeti, la mwananchi kama linalipoti sawa kuhusu habari za siasa bila kubase chama cha mapinduzi, kama HABARI LEO, MTANZANIA na mengine mengi, ambayo ni...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Gazeti letu pendwa tunaomba mumuoji shekh yahaya juu ya afya ya kikwete anaonekana anajua
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau nimeota ndoto. Ni kama tarehe 1 nov hivi ambapo zoezi la kuhesabu kura za urais linaelekea kukamilika. Taarifa zisizo rasmi ni kuwa Dr Slaa anaongoza kwa kura kwa %85 hivi. Nchi nzima...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nimesikia tetesi kuwa Ndg. Oscar Mukassa ambaye ni mgombea ubunge Biharamulo Magh. kupitia CCM amepandishwa kizimbani Kwa kutoa nyaraka (vyeti) feki alivotengeza mwenyewe kuonyesha kuwa mgombea...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimetumiwa waraka huu kwa email kutoka kwa jamaa mmoja anayeishi huko mikoani. Nawabandikia wadau ili muone ushauri wake. Soma kwa makini: sambaza ujumbe huu uwafikie wapiga kura wote waliopo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu si ushabiki ila nasema ki ukweli kabisa for the first time katika uchaguzi huu tunaona CCM - Ikiweweseka, juzi na jana nilikuwa Arusha nimezunguka sana mjini, talk of the town ilikuwa CCM...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Wadau samahani kuiweka hapa, Mods please iondoe after 1 day ili tupate na kama ipo same mada, please iunganisheni.. ..Tumekuwa tunawasiliana na ndugu na jamaa zetu waliopo nje ya TZ kwa sms, lkn...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tulisikia kuwa wakati wa utawala wa mkapa,hakuna aliyenyongwa.je kuna mwenye kujua kama kikwete kanyonga au lah? Na vipi vifo kama cha yule trafic suzana wa musoma!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Haya majimbo vipi, naona kimya sana jamani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimeangalia leo ITV baada ya taarifa ya habari Dr Slaa alikuwa kiongea, ghafla alipoanza kuzungumzia ufisadi, akakktishwa na baada ya matangazo wakaweka kipindi cha igizo! kweli huyu shujaa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimejiuliza leo, ni nani na NAMNA gani wahusika wanachagua sehemu ya kufanyia Swala ya EID? Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Bongo... bado uko vile ??? ...maendeleo yahitaji wataalam, si wanandugu... big ups mamaland
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu habari za Sikukuu?jamani nimekaa nikafikiria kuna sababu kubwa sana ndani ya SiSi Njemu kukataa Debate kwa Mkulu wao na hii ni shinikizo la makamba(The Fataki),Kikwete alianguka Jangwani...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
TBC: We will continue with TV debates Thursday, 09 September 2010 23:29 By...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa niaba yangu binafsi, mgombea mwenza, timu nzima ya uongozi wa Chadema na Chama chetu tunawatakia heri ya Siku Kuu ya Eid El Fitr ndugu zetu Waislamu pote Tanzania wanaposherehekea kumalizika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ningependa kufahamu kipindi kama hiki cha uchaguzi mkuu serikali inakuwa wapi na majukumu ya rais ni yapi na mipaka yake ni ipi. Nadhani wengi tungependa kufahamu hili. Nimeuliza hivi maana leo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
dalili hizi ni tosha kuwa chadema sasa imeshakamata nchi dalili ya kwanza ratiba ya kampeni ya ccm imebadilishwa ambapo mgombea urais sasa hatapumzika dalili ya pil ccm wameshaonesha...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Back
Top Bottom