Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imeionya Jumuiya ya Nchi za Ulaya (EU) na mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania kutoiingilia kabisa mambo yake ya ndani na pia imeuponda utafiti wa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
BAADHI ya Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) wameshtushwa na ripoti za utafiti zilizotolewa na Kampuni ya Synovate ambayo imempa nafasi kubwa ya uongozi katika uchaguzi...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Membe angekua na akili hata za kuazima toka kwa Mkullo wizara ya mambo ya ndani wangekuwa na website ya kutuonya kuhusu UK na haswa kutuambia: WAINGEREZA WANAONGOZA KWA KULAWITI WATOTO WADOGO...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanajf ongozeni nchi tungeanzia wapi? Kama tungekuwa viongozi wa Tanzania. Kubadili katiba ya nchi? Kuwakamata Mafisadi wote? Kurudisha nyumba za serikali? Kufukuza wawekezaji wa Madini wote...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Huyu mheshimiwa amekuwa kama vile Lowassa kila kukicha yuko safari hivi saa ngapi anakaa ofisni na kufanya paperwork? Halafu I am still tryying to figure him out..lakini sijui but something is...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Leo najiuliza swali jepesi nikiendelea kuandika makala mpya ambayo inakusudia kwa mara nyingine kuamsha mawazo na kuchochea hisia za ndugu zangu watanzania tunapoifikiria nchi yetu. Chama cha...
0 Reactions
192 Replies
24K Views
CCM inazidi kupoteza sifa zake kutokana na Viongozi na wanachama wake kutosema ukweli kuhusu ufisadi,ubinafsi na kujilimbikizia mali. Wanaoipotezea sifa CCM ni hawa tu au kuna wengine? Angalia...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Lets face it, alipoanza ma SNOBS wengi walianza ohhh mbona hayuko modern mara ohhh mbona sijui nini lakini as time goes by naona WAMA wanafanya kazi nzuri zaidi kuliko ile ya mama Mkapa Huyu...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Makamba atwishwa kuwalinda mafisadi Mwandishi Wetu Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo Agosti 12, 2009 Ushahidi uliommaliza waanikwa Ni mpasuko wa madiwani wa Kinondoni USHAHIDI...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
THE other day, a friend from my own generation remarked: ‘Look here: what we are seeing here as the emergence of ‘mafisadi’ (a lootocracy) is just a tempest in a tea cup. Even bigger looting is on...
0 Reactions
0 Replies
961 Views
nimeona niwaulize wana Jf kweli viongozi wameamua kupunguza gharama za matumizi ya magari yao (mashangingi) kwa dhatia (kuionea huruma nchi) au ni geresha tu kuelekea uchaguzi mkuu? Then...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Imeandikwa na Basil Msongo; Tarehe: 27th July 2009 Mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe ameitaka Serikali iufunge mara moja mgodi wa dhahabu wa North Mara ili sumu inayodaiwa kutoka hapo...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Kama ulikuwa bado unaburuzwa na vyama vingine visivyo na msimamo basi hujachelewa ,Hapa Tanzania kipo Chama kimoja tu ambacho ndicho Chama ambacho kila Mtanzania anatakiwa ajiunge nacho na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
George Mwakalinga mwana Kyela aliyekuwa anaishi na kufanya kazi kama mtaalaum wa kompyuta nchini UK amewasili Kyela majuzi na tayari ametangaza kuwania ubunge wa wilaya ya Kyela ndani ya CCM...
0 Reactions
1K Replies
74K Views
Ni maneno, malalamiko, manung'uniko, shutuma tu kila kukicha kulikoni? Tanzania haijawahi kupungukiwa na taasisi za kupambana na Rushwa. Wakati wa uhuru, Tanzania ilirithi Sheria ya wakoloni ya...
0 Reactions
96 Replies
9K Views
well...just when you thought you heard it all...sasa UFISADI UMEINGIA HALMASHAURI YA MULEBA source yangu ni jarida la cheche lililotoka leo mwenye zaidi alete
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakati najiandaa kuja nyumbani na kuelekea jimboni kwangu Masasi kwenda kutangaza azma yangu ya kusimama uso kwa uso na mbunge wa sasa hapo mwakani, ilinilazimu kwanza nipitie kitengo cha afya cha...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ni Wakati Tume ya Uchaguzi ya Taifa ifikirie kutumia electronic voting. Isisubiri hadi watu wachinjane. Hebu soma:- "Kenya may adopt an electronic voting system by 2012 should stakeholders and...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa kuangalia umaarufu wa viongozi wa kisiasa, utafiti huo uliofanywa nchi nzima ukiwashirikisha watu 2,000, unaonyesha kuwa Rais Jakaya Kikwete anaongoza kwa asilimia 66 akifuatiwa kwa mbali na...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
(Note: Kwa kweli nilitaka kuandika "huu sasa uhuni"! Kiwanda cha jeshi Nyumbu sasa kitaunda matrekta madogo Mwandishi Maalum, Kiteto WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema serikali imeamua...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Back
Top Bottom