TUMEKWISHA;Hata Raia Mwema na Tanzania Daima wamenunuliwa na CCM!!!

Status
Not open for further replies.

Mlalahoi

JF-Expert Member
Aug 31, 2006
2,182
883
What else could you say?Tovuti ya Raia Mwema-jarida tulilokuwa tukiliamini kwa taarifa zake fasaha- ina habari za toleo la wiki iliyopita.Kumbuka hilo ni jarida linalotoka once a week kwa hiyo wana muda wote wanaohitaji kwa ajili ya kuweka habari za toleo jipya.Namini sio kwa sababu ya uzembe bali wamefadhiliwa na CCM wasiweke habari mpya mtandaoni.

Tanzania Daima nao wamegoma kuweka habari mpya tangu majuzi.Hawa tulikuwa tukiwategemea sana kwa vile tuliaminishwa juwa ni pro-Chadema.

Ulimwengu anaweza ku-update blogu yake (hosted by JF) LAKINI ANASHINDWA KUWAKUMBUSHA VIJANA WAKE KU-UPDATE TOVUTI YAO.

Nadhani sijakosea kuhisi kuwa WAMENUNULIWA NA CCM.

What do you think?
 
Nadhani sijakosea kuhisi kuwa WAMENUNULIWA NA CCM.

What do you think?
nadhani una matatizo makubwa tena nenda muone psychiatrist maana una vivid hallucinations... that is what i think

unaweza kuta hata nduguyo anacheza futbol kwenye uwanja wa kijani ukadhani amehania ccm
 
Sioni uhusiano. Itawasaidia nini CCM kuzuia yasiwekwe kwenye mtandao ili hali mitaani yanauzwa? Nafikiri kopi zile zinazouzwa mitaani ni hatari zaidi kuliko hizi za mtandaoni kwa sababu sehemu kubwa ya wanaosoma kopi za kwenye tovuti ni walio nje ya nchi na wachache ambao ni wavivu wa kununua kopi halisi. Sasa hao wachache sioni kama wana impact kubwa kiasi cha CCM kuamua kununua hiyo huduma. Nafikiri ni kutowajibika tu kwa baadhi ya watu wanaoshughulika na suala la kuupdate mitandao. Hakuna sababu ya kusukumizia kila jambo kwa CCM.
 
What else could you say?Tovuti ya Raia Mwema-jarida tulilokuwa tukiliamini kwa taarifa zake fasaha- ina habari za toleo la wiki iliyopita.Kumbuka hilo ni jarida linalotoka once a week kwa hiyo wana muda wote wanaohitaji kwa ajili ya kuweka habari za toleo jipya.Namini sio kwa sababu ya uzembe bali wamefadhiliwa na CCM wasiweke habari mpya mtandaoni.

Tanzania Daima nao wamegoma kuweka habari mpya tangu majuzi.Hawa tulikuwa tukiwategemea sana kwa vile tuliaminishwa juwa ni pro-Chadema.

Ulimwengu anaweza ku-update blogu yake (hosted by JF) LAKINI ANASHINDWA KUWAKUMBUSHA VIJANA WAKE KU-UPDATE TOVUTI YAO.

Nadhani sijakosea kuhisi kuwa WAMENUNULIWA NA CCM.

What do you think?
mkuu unamaana kwamba yeyote asiye update tovuti yake amenunuliwa na ccm??? i think unaona visivyoonekana mkuu

ukianza hivi hatutafika popote kama watanzania aisee
 
What else could you say?Tovuti ya Raia Mwema-jarida tulilokuwa tukiliamini kwa taarifa zake fasaha- ina habari za toleo la wiki iliyopita.Kumbuka hilo ni jarida linalotoka once a week kwa hiyo wana muda wote wanaohitaji kwa ajili ya kuweka habari za toleo jipya.Namini sio kwa sababu ya uzembe bali wamefadhiliwa na CCM wasiweke habari mpya mtandaoni.

Tanzania Daima nao wamegoma kuweka habari mpya tangu majuzi.Hawa tulikuwa tukiwategemea sana kwa vile tuliaminishwa juwa ni pro-Chadema.

Ulimwengu anaweza ku-update blogu yake (hosted by JF) LAKINI ANASHINDWA KUWAKUMBUSHA VIJANA WAKE KU-UPDATE TOVUTI YAO.

Nadhani sijakosea kuhisi kuwa WAMENUNULIWA NA CCM.

What do you think?

If you are serious nakusihii umtembelee mtaalamu wa akili........
 
What else could you say?Tovuti ya Raia Mwema-jarida tulilokuwa tukiliamini kwa taarifa zake fasaha- ina habari za toleo la wiki iliyopita.Kumbuka hilo ni jarida linalotoka once a week kwa hiyo wana muda wote wanaohitaji kwa ajili ya kuweka habari za toleo jipya.Namini sio kwa sababu ya uzembe bali wamefadhiliwa na CCM wasiweke habari mpya mtandaoni.

Tanzania Daima nao wamegoma kuweka habari mpya tangu majuzi.Hawa tulikuwa tukiwategemea sana kwa vile tuliaminishwa juwa ni pro-Chadema.

Ulimwengu anaweza ku-update blogu yake (hosted by JF) LAKINI ANASHINDWA KUWAKUMBUSHA VIJANA WAKE KU-UPDATE TOVUTI YAO.

Nadhani sijakosea kuhisi kuwa WAMENUNULIWA NA CCM.

What do you think?


siyo kweli ..................................
 
Wakuu tusifanye mzaha. Ni kweli haya magazeti inawezekana yakawa wahudumu wake ikiwa ni pamoja na waandishi wakawa hawajanunuliwa na ccm. Ila cha kujiuliza ni kwa nini magazeti haya sii tu kwamba website zake zinachelewa kuwa updated bali hata upatikanaji wake mikoani ni wa shida mno. Isije ikawa kwa kuwa magazeti haya ni makini na yanaandika habari huru kinyume na matakwa ya ccm, wakawa wameweka mkakati kwa wagombea ubunge wao na udiwani wameagizwa kuyadaka na kuyanunua yote kabla ya kuwafikia raia wa vijijini. Maana kama watanzania wengi watafanikiwa kusoma magazeti ya Raia mwema, tanzania daima na mwanahalisi katika kipindi hiki cha uchaguzi ni dhahiri watakuwa na mtizamo chanya kwa ccm. Binafsi mimi juzi nimeanzia tunduma hadi morogoro nikiitafuta nakala ya Tanzania daima bila mafanikio japo nililala Iringa na kuendela na safari kesho yake, sikufanikiwa kupata hata pisi moja kwa mawakala. Ilinifanya kuingiwa na wasi wasi na kuanza kujiuliza kile kinachoendelea.
PIGA UWA GALAGAZA, BURUZA DR SLAA NI RAIS WA TANZANIA BAADA YA 31 OCTOBER!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom