Karamba lolo Makonda!Namuonea huruma katika maisha yake ya siasa maana aliharibu sana pia haji kupata cheo chochote kile!Hivi atakuwa anajisikiaje??
 
Hapa bado sijaelewa
Screenshot_2020-07-20-19-31-28.png
 
Breaking News !

Dr. Faustine Engelbert Ndugulile ashinda kura za maoni za ndani ya chama cha CCM jimbo la Kigamboni jijini Dar es Sakaam.

Kura za maoni za wajumbe halali zilikuwa 399 hakuna kura iliyoharibika na Dr. Faustine Engelbert Ndugulile amefanikiwa kupata kura 190 za wajumbe hao wa mkutano wa wilaya ya Kigamboni..
 
Pesa zake 300mil zimekwenda na maji na wamemkataa....... Shetani huyu Mr zero.......
 
Hayo ni maoni tu kwa kamati kuu Kama Yale maoni ya wadanganyika kwenye rasm ya katiba mpya yaliyokuja kupinduliwa na mh sana samweli sitta na genge lake wakiwemo Makonda na Magufuli Kisha kuzikwa kabisa na Magufuli.Kwa mkitadha huo plus namna tunavyoshughulikia suala la Covid_19 namtangaza makonda Kama ndiye mpeperusha bendera la chama kubwa Africa katika kuzalisha masikini dunia kwa kufisadi na kuiba Mali za Wanyonge wa nchi hii yaani ccm
 
Back
Top Bottom