Breaking News !

Dr. Faustine Engelbert Ndugulile ashinda kura za maoni za ndani ya chama cha CCM jimbo la Kigamboni jijini Dar es Sakaam.

Kura za maoni za wajumbe halali zilikuwa 399 hakuna kura iliyoharibika na Dr. Faustine Engelbert Ndugulile amefanikiwa kupata kura 190 za wajumbe hao wa mkutano wa wilaya ya Kigamboni..
 
Please wapinzani,hawa waliounga juhudi na leo wamepigwa chini kamwe wasirudi hatari sana kwa ustawi wa opposition
 
Haya nimeona mwenyewe Clouds tv wanatangaza Kigamboni now Ndugulile mshindi kapata kura 190 , Makonda 122 shughuli imekwisha tuhamie Kawe sasa! Huwezi kushindana na baba yako Makonda wamekuingiza choo cha kike wote waliokushawishi ujinga!!

Mcheza sinema za uchi Gwajima nae apewe za uso hii Kawe sio sisiem ya wapumbavu ni sisiem makini na imara!

Hayaa...
Sasa Makonda ni Raia wa kawaida Rasmi.

Sasa hivi ukikutana nae hata vibao unamtwanga vizuriii...

Anyooke sasa.
 
Waliounga mkono juhudi pole zao, wamebaki na sifa moja tu mbele ya umma wa Watanzania; "Walikubali kuwa wasaliti na hata kutumika kwa manufaa ya chama tawala". Huku ndiko kuisoma namba.

Wasiwe na aibu ya kurudi nyumbani kama wana wapotevu. Ni heri sasa wakarudi zizini huku pembe na mikia yao zikiwa zimekatwa.
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.



Live Kutoka Kigamboni

View attachment 1511577


Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi

Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.

Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.


------UPDATE: MATOKEO YA AWALI-----

1. DAR ES SALAAM
Kinondoni

Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11

Kigamboni - Kura 398

Dkt. faustine Ndugulile - 190
Paul Makonda - 122

Kawe

Ilala

Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6

Kibamba

Ubungo - Kura 375

Prof. Kitila Mkumbo - 172
Bi.Mwantum Mgonja - 73

Ukonga

Temeke - Kura 367

Abbas Mtemvu - 203
Doris Kilave - 182
Abdallah Mtolea - 22.


2. SINDIDA

Iramba Magharibi
Dr. Mwigulu Nchemba - 27
Adv. John W. Jacob - 16
Dr Timoth Lyanga - 13

Singida Mjini
Musa Ramadhan Sima - 158
Charles Kisuke - 124
Hassan Mazala - 92

Singida Kaskazini
Iramba Mashariki
Iramba Magharibi
Manyoni Magharibi
Manyoni Mashariki
Singida Mashariki
Singida Magharibi


3. TABORA

Bukene
Igalula
Igunga
Kaliua
Manonga

Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2

Nzega Vijijini
Sikonge
Tabora Mjini
Ulyankulu
Urambo
Uyui


4. PWANI

Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588

Chalinze
Bagamoyo
Kibaha Mjini

Kibaha Vijijini
Hamoud Jumaa - 332
Michael Makamo - 33
Hussein Juma -31

Mafia
Mkuranga
Kibiti
Rufiji



5. IRINGA

Isimani

Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0

Iringa Mjini
Kalenga
Kilolo

Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122

Mufindi Kaskazini
Mufindi Kusini

6. TANGA
Tanga Mjini
Bumbuli
Mlalo

Pangani
Jumaa Awesso - 281

Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini

7. GEITA
Geita Mjini
Geita Vijijini
Busanda
Mbogwe

Bukombe
Doto Biteko - 555

Chato


8. MBEYA/SONGWE

Mbeya mjini - Kura 924

Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00

Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi

Vwawa
Japhet Hasunga - 552
Erick Minga - 129

Momba
Tunduma
Chunya
Kyela
Busokelo
Lupa

9. MANYARA

Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro

10. KILIMANJARO

Hai

Siha
Dk. Godwin Mollel - 148
Aggrey Mwanry - 147
Tumsifu Kweka - 53


Moshi Mjini - Kura 370
Ibrahim Shayo - 140
Priscus Tarimo - 137
Beno Malisa - 23

Mwanga
Same Mashiriki
Same Magharibi
Moshi Vijijini

Vunjo - Kura 567
Enock Koola - 187
Dk. Charles Kimei - 178
Crispin Meela - 47

Rombo

11. MOROGORO

Gairo
Shabiby - 532
Dkt.Mmasa Joel - 8
Shehewa Chiduo - 6

Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki

Morogoro Mjini - Kura 638
1. Abdul-Aziz Abood - 524
2. Merkiory Manset - 17
3. Ally Yahaya Simba - 15
4. Idhah Omary Abdalah (Alsaedy) - 10

Mvomero
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki

12. MTWARA
Mtwara Mjini

Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.

Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda

Newala Mjini - Kura 526
George Mkuchika - 319
Rashidi Mtima - 121
Karimu Lichela - 42

Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi

13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini

Liwale - Kura 482
Faith Mitambo - 363
Zuberi Kuchauka - 71
Halifa Kujakila

Mtama
Nape Nnauye - 496
Nahonyo Cuthbert 177
Chiwinga Aushuatino - 42

Mchinga
Nachingwea

Ruangwa
Majaliwa Kassim Majaliwa - Alikuwa peke yake

14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo

15. NJOMBE

Njombe Kaskazini
Njombe Kusini

Makambako
Deo Sanga - 421
Robert Msigwa - 29
Mhandishi Sostenes Ngogo - 20

Wanging'ombe
Makete
Ludewa

Lupembe 421
Edwin Swale - 138 kati ya kura 421
Jorum Hongoli - 61


16. DODOMA
Bahi
Chemba
Chilonwa
Dodoma Mjini
Kibakwe
Kondoa Mjini
Kondoa Vijijini

Kongwa - Kura 889
Job Ndugai - 850
Dkt. Samora Mshanga - 20
Isaya - Mngulumi - 19

Mpwapwa

Mtera
Livingstone Lusinde - 571
Dkt. Michael Msende - 120
Mwanga Chibago - 37

17. MWANZA
Buchosa

Ilemela - Kura 685
Dkt. Angeline Mabula - 502
Israel Mtambalike - 112

Kwimba
Magu
Misungwi
Nyamagana
Sengerema
Sumve
Ukerewe


18. RUVUMA
Songea Mjini
Nyasa
Tunduru Kaskazini
Tunduru Kusini

Peramiho
Jenister Mhagama - 845

Madaba
Namtumbo
Mbinga Mjini
Mbinga Vijijini

19. RUKWA
Sumbawanga Mjini
Nkansi Kaskazini
Nkansi Kusini
Kwela
Kalambo

20. KAGERA
Biharamulo
Bukoba Mjini
Bukoba Vijijini

Karagwe
Innocent Bashungwa - 587
Joseph Kahama - 48
Vedasto Gotfrida - 7

Kyerwa
Muleba Kaskazini
Muleba Kusini
Ngara
Nkenge

21. MARA
Bunda Mjini
Bunda Vijijini
Butiama
Musoma Mjini
Musoma Vijijini
Mwibara
Rorya
Serengeti
Tarime Vijijini
Tarime Mjini

22. SHINYANGA
Kahama Mjini
Kishapu
Msalala
Shinyanga Mjini
Solwa
Ushetu

23. SIMIYU
Bariadi
Busega
Itilima
Kisesa
Maswa Mashariki
Maswa Magharibi
Meatu

24. KIGOMA
Buyungu

Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako - 405
Daniel Nsanzugwanko - 80

Kasulu Vijijini
Kigoma Kaskazini
Kigoma Kusini/Uvinza
Kigoma Mjini
Manyovu
Muhambwe


25. ARUSHA

Karatu

Arumeru Magharibi

Arumeru Mashariki
Dkt. John D Pallangyo - 536
Dkt. Daniel M Pallangyo - 63
Joshua Nassari - 26.

Longido

Monduli

Ngorongoro
 
Dr. Faustine Engelbert Ndugulile ashinda kura za maoni za ndani ya CCM jimbo la Kigamboni jijini Dar es Sakaam.

Kura za maoni za wajumbe halali zilikuwa 399 hakuna kura iliyoharibika na Dr. Faustine Engelbert Ndugulile amefanikiwa kupata kura 190 za wajumbe hao wa mkutano wa wilaya ya Kigamboni..
Safiiiiiiiiiiiih
 
Back
Top Bottom