Amebaki Pascal Mayalla anajitutumua kua very critical.
Ufisadi unaoendelea sasa hivi bila kuwa tasinia ya habari yenye waandishi wa habari kama Pascal Mayalla taifa letu linakwenda pabaya sana.
Bajeti zinapitishwa na bunge huwezi kuona Mwandishi amechambua au kumhoji waziri husika...
Wakuu, msikilizeni wenyewe mwandishi huyu mkongwe katika tasnia ya habari hapa Tanzania akieleza kuhusu kupotea kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda na Ben Saanane, pamoja na athari ambazo matukio hayo yameleta kwa waandishi wa habari hadi sasa.
=============
"Kuna Muandishi wa Mwananchi anaitwa...
Wakati akiendelea kutoa tathmini yake kuhusu yaliyotokea Oktoba 29, Mwandishi wa Habari mkongwe Pascal Mayalla amesema kuwa katika tangazo la katazo la kutoka nje, lilipaswa kuwaeleza Watanzania kwamba ukionekana nje popote baada ya saa 12 jioni utauliwa, watu wangeelewa.
Soma Pia: Jeshi la...
Anaandika Aloyce Nyanda:
Pole mkurugunzi wa jambo Tv online ndugu John Marwa kuwa Makini zaidi huu ni mtego wa mwisho
Taarifa nilizopata toka vyanzo vyangu leo tarehe 5 ni kwamba kamati ya muudhui ya TCRA imewapa ONYO KALI JAMBO TV, kwa mujibu wa Kanuni ya 21 (2) (3) (a) ya Kanuni za maudhui...
Wana-JF na Wanahabari wenzangu,
Leo nimeguswa kutoa neno baada ya kuona barua ya Bodi ya Ithibati (JAB) ya tarehe 03 Machi 2026, ikitoa onyo kwa mwandishi mwandamizi Pascal Mayalla na mwenzake Wilberforce Ngoto. Kama mwanahabari mdogo kwa Senior Mayalla, siwezi kukaa kimya wakati misingi ya...
Ngoma bado NZITO, ahahahaa
Pascally Mayalla na mwenzake kupitia jambo Tv wako liveeeee!
Pascally asema anawaheshimu viongozi wa serikali ila hawaogopi, asema uhuru wake aliopewa na katiba ibara ya 18 uheshimiwe usiingiliwe.
Soma JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba...
Hamjambo wakulungwa!
1. Robert ninapoandika maandiko na makala zangu. Mwanasaikolojia atakuwa na uwezo wa kuchambua Makala na content niliyoandika lakini hataweza kuchambua hisia, mtazamo na kilichopo moyoni mwangu.
2. Mfano, wasomaji wengi wa Makala zangu huniona kama mwanaume mchukia...
Kama ni yupo Competent kwa nini hajawahi kutoboa hata mara moko.
Zaidi ya kuja kujaza makala ndefu ambazo hazina kichwa wala miguu.
Maana kadili anavyo itetea CCM ndio inazidi kuchukiwa.
What is wrong Paskary?
Namsikia sana humu bt kumbe ni mtu mzima tu, sasahivi kabla sija comment chochote humu nitaanza na shkamoo😀, weeh wampe tu Teuzi
anyways ilikuwa poa kumuona, japo nae hajanijua, cheers uncle
Pascal hayaoni haya mambo yote yanayotokea?
Hawa watu wanasema wanataka kuandamana ni kweli wanataka kuikomboa nchi au wanataka kurudisha nyuma maendeleo na kutupeleka kwenye Stone Age ?
Wakuu, maandiko ya Pascal Mayalla hivi karibuni yanafanya nimtilie shaka, ni kama mtu aliyetengwa na anajaribu kujisogeza karibu na waliomtenga lakini wapi.
Napendekeza asaidiwe haraka iwezekanavyo.
P.
Habari wana jukwaa.
Ni matarajio yangu kuwa mnaendelea vyema.
Leo katika kufuatilia kwangu kile kinachoendelea kwenye harakati za kuwapata wabunge na madiwani ndani ya chama tawala, nimefurahishwa na baadhi ya wananchi wa baadhi ya maeneo hapa kwa jinsi wanavyoonesha 'reaction' kwa waliokuwa...
Jamani jamiiforum ni kisima cha maarifa. Japokuwa mm hutoa comments za mizaa kwa wingi lkn kuna vitu naviokota humu.
Ktk moja ya nyuzi zinazoongelea kesi ya uhaini ya bw. Lisu kuna mdau katoa comment inayoeldzea kisa cha mzee Mayalla, babake Pascal Mayalla kuwa ni miongoni mwa watu...
Nimependa Press Conference ya Askofu Gwajima ni fupi na inojitosheleza.
Kaongelea masuala makuu matatu.
1. Uteuzi wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwamba ni lazima wathibitishwe na kamati ya bunge ya Ulinzi na Usalama. lakini "crucially", ni kwamba ni lazima utenguzi wao pia ni lazima...
Mwandishi nguli, Paschal Mayala akielezea aliyopitia baada ya kumuuliza swali Rais Magufuli lenye sehemu mbili, swali hilo lilihoji mamlaka aliyotumia Rais Magufuli ya kukataza mihimili mingine ya Serikali kusafiri na kukataza mikutano ya kisiasa ilhali mikusanyiko na uhuru wa kutoa maoni...
Kayasema haya kupitia video ya mahojiano kuhusu swali alilomuuliza Magufuli la alipata wapi mamlaka ya kuzuia Bunge live, na kuzuia mikutano ya hadharani,
Kwa kifupi
1. Alinyang’anywa press card ya kuendelea Kama muandishi wa Habari
2. Alizuiliwa kuendelea na shughuli zake za kutanganza na...
Asalam Aleykum wana jukwaa.
Leo nimeona niongelee hili suala la baadhi ya viongozi ambao kwa upande wangu nawaona kama hawana uwezo na wengi wana nafasi walizo nazo huenda kutokana na kubebwa na mfumo au kikundi cha watu au mtu fulani.
Hivi unakuwaje kiongozi mkubwa halafu unachoweza kuongea...
Asalam Aleykum wana JF.
Ama baada ya salamu hizo, niende kwenye hoja moja kwa moja.
Ndugu zangu, upo usemi usemao "Duniani, kitu pekee ambacho hakibadiliki, ni mabadiliko!".
Mabadiliko hayakwepeki kwa hali na mali.
Hivyo ni vizuri mara zote kujiandaa kukabiliana na mabadiliko katika maisha...
Nikimalizia Johnmtembezi hapa katika vienga vya kutunga sheria, ili baadae tuwahi majukumu.
Huyu jamaa na sauti zake za ndani hasa za tahadhari sisichukuliwe kirahisi.
Malaika wananamna nyingi na hujui huwa wanakaa na akina nani.
Yeye aweza kuwa mmoja tu wa anayetumiwa na YEYE kwa wale From...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.