Akiongea hivi punde kupitia Podcast ya 'Royal" mwandishi nguli wa habari nchini Tanzania Pascal Mayalla, kasema watu waliouliwa Oktoba 29 kama walikuwa wanaandamana, waliuliwa kwa sababu vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu.
Pascal Mayalla
"Na...
Mzee Mahita ameongea mambo mengi kiasi kwamba jamii haiamini anachosema.
Mfano rais mstaafu kutumia vibaya madaraka kwa sababu katiba tuliyinayo ni mbovu na kumteua Said Mwema kuwa Igp kisa tu ameoa kwao. Na keleza namna vyombo vingine vya usalama vinakamata watu na kuwaweka kwenye sero za...
Wakuu hongereni na poleni sana na harakati za maisha.
Mtaji wa kwanza kwa mwanadamu ni Afya tusiache kulingia afya tuliyonayo maana wapo wenzetu humu na wengine ma hospitalini huko wana pambania Afya zao.
Turudi kwenye mada tajwa hapo juu leo nikaona sio sawa kupita hivi hivi bila kurejea visa...
Amebaki Pascal Mayalla anajitutumua kua very critical.
Ufisadi unaoendelea sasa hivi bila kuwa tasinia ya habari yenye waandishi wa habari kama Pascal Mayalla taifa letu linakwenda pabaya sana.
Bajeti zinapitishwa na bunge huwezi kuona Mwandishi amechambua au kumhoji waziri husika...
Wakuu, msikilizeni wenyewe mwandishi huyu mkongwe katika tasnia ya habari hapa Tanzania akieleza kuhusu kupotea kwa mwandishi wa habari Azory Gwanda na Ben Saanane, pamoja na athari ambazo matukio hayo yameleta kwa waandishi wa habari hadi sasa.
=============
"Kuna Muandishi wa Mwananchi anaitwa...
Wakati akiendelea kutoa tathmini yake kuhusu yaliyotokea Oktoba 29, Mwandishi wa Habari mkongwe Pascal Mayalla amesema kuwa katika tangazo la katazo la kutoka nje, lilipaswa kuwaeleza Watanzania kwamba ukionekana nje popote baada ya saa 12 jioni utauliwa, watu wangeelewa.
Soma Pia: Jeshi la...
Anaandika Aloyce Nyanda:
Pole mkurugunzi wa jambo Tv online ndugu John Marwa kuwa Makini zaidi huu ni mtego wa mwisho
Taarifa nilizopata toka vyanzo vyangu leo tarehe 5 ni kwamba kamati ya muudhui ya TCRA imewapa ONYO KALI JAMBO TV, kwa mujibu wa Kanuni ya 21 (2) (3) (a) ya Kanuni za maudhui...
Wana-JF na Wanahabari wenzangu,
Leo nimeguswa kutoa neno baada ya kuona barua ya Bodi ya Ithibati (JAB) ya tarehe 03 Machi 2026, ikitoa onyo kwa mwandishi mwandamizi Pascal Mayalla na mwenzake Wilberforce Ngoto. Kama mwanahabari mdogo kwa Senior Mayalla, siwezi kukaa kimya wakati misingi ya...
Ngoma bado NZITO, ahahahaa
Pascally Mayalla na mwenzake kupitia jambo Tv wako liveeeee!
Pascally asema anawaheshimu viongozi wa serikali ila hawaogopi, asema uhuru wake aliopewa na katiba ibara ya 18 uheshimiwe usiingiliwe.
Soma JAB yampa Pascal Mayala saa 24 kuthibitisha Dkt. Nchemba...
Hamjambo wakulungwa!
1. Robert ninapoandika maandiko na makala zangu. Mwanasaikolojia atakuwa na uwezo wa kuchambua Makala na content niliyoandika lakini hataweza kuchambua hisia, mtazamo na kilichopo moyoni mwangu.
2. Mfano, wasomaji wengi wa Makala zangu huniona kama mwanaume mchukia...
Kama ni yupo Competent kwa nini hajawahi kutoboa hata mara moko.
Zaidi ya kuja kujaza makala ndefu ambazo hazina kichwa wala miguu.
Maana kadili anavyo itetea CCM ndio inazidi kuchukiwa.
What is wrong Paskary?
Namsikia sana humu bt kumbe ni mtu mzima tu, sasahivi kabla sija comment chochote humu nitaanza na shkamoo😀, weeh wampe tu Teuzi
anyways ilikuwa poa kumuona, japo nae hajanijua, cheers uncle
Pascal hayaoni haya mambo yote yanayotokea?
Hawa watu wanasema wanataka kuandamana ni kweli wanataka kuikomboa nchi au wanataka kurudisha nyuma maendeleo na kutupeleka kwenye Stone Age ?
Wakuu, maandiko ya Pascal Mayalla hivi karibuni yanafanya nimtilie shaka, ni kama mtu aliyetengwa na anajaribu kujisogeza karibu na waliomtenga lakini wapi.
Napendekeza asaidiwe haraka iwezekanavyo.
P.
Habari wana jukwaa.
Ni matarajio yangu kuwa mnaendelea vyema.
Leo katika kufuatilia kwangu kile kinachoendelea kwenye harakati za kuwapata wabunge na madiwani ndani ya chama tawala, nimefurahishwa na baadhi ya wananchi wa baadhi ya maeneo hapa kwa jinsi wanavyoonesha 'reaction' kwa waliokuwa...
Jamani jamiiforum ni kisima cha maarifa. Japokuwa mm hutoa comments za mizaa kwa wingi lkn kuna vitu naviokota humu.
Ktk moja ya nyuzi zinazoongelea kesi ya uhaini ya bw. Lisu kuna mdau katoa comment inayoeldzea kisa cha mzee Mayalla, babake Pascal Mayalla kuwa ni miongoni mwa watu...
Nimependa Press Conference ya Askofu Gwajima ni fupi na inojitosheleza.
Kaongelea masuala makuu matatu.
1. Uteuzi wa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwamba ni lazima wathibitishwe na kamati ya bunge ya Ulinzi na Usalama. lakini "crucially", ni kwamba ni lazima utenguzi wao pia ni lazima...
Mwandishi nguli, Paschal Mayala akielezea aliyopitia baada ya kumuuliza swali Rais Magufuli lenye sehemu mbili, swali hilo lilihoji mamlaka aliyotumia Rais Magufuli ya kukataza mihimili mingine ya Serikali kusafiri na kukataza mikutano ya kisiasa ilhali mikusanyiko na uhuru wa kutoa maoni...
Kayasema haya kupitia video ya mahojiano kuhusu swali alilomuuliza Magufuli la alipata wapi mamlaka ya kuzuia Bunge live, na kuzuia mikutano ya hadharani,
Kwa kifupi
1. Alinyang’anywa press card ya kuendelea Kama muandishi wa Habari
2. Alizuiliwa kuendelea na shughuli zake za kutanganza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.