Kwani ratiba ya kuchukua na kurudisha form walijipangia vyama vyenyewe au Tume ndo iliwapangia???Yaani hujui kuwa walipokuwa wakirudisha fomu majina yao yalikuwa yakiandiwka kwenye daftari la wagombea na list hiyo ndiyo imetumika kwenye ballot? Ulitaka iwe alphabetical kwa msingi gani, jina la kwanza, surname au jina la chama?
Mimi pamoja na kulipia kadi yangu ya ccm miaka yangu yote ya uanachama lakini mwaka huu nimewanyima kura zangu zote.kuanzia udiwani hasi urais nimewapa upinzaniAlikuwepo Jitu la miraba minne jina lake ni Farao aliitawala Misri pamoja na wana wa Israel lakini mwisho wake ulifika,nasema hivi ccm mwisho wenu umefika na mwisho wenu ni mbaya sana tena mmegeukana wenyewe kwa wenyewe.
How? CCM wameiba kura kila kituo. What next?lissu ameshakuwa rais tayar! magufuri anza kufungasha virago tayar!
CHADEMA BARIDIIIIIIIIIIII.....in JK voiceNimeanza kupata matokeo ya awali jimbo la Bunda.
Ni zoezi dogo kuliko lile la 2015 watanzania milioni 20 walivyotengenezewa vutambulishoAcha uoga bhana hakuna mtu wa kuingiza mamilioni ya makaratasi ya kura Tz nzima kwenye system.
Mna hofu ya nini?
Jina la chama. Ndivyo ilivyo miaka yote; na hata huu kwa wagombea wengine, kasoro uraisi wa muunganoYaani hujui kuwa walipokuwa wakirudisha fomu majina yao yalikuwa yakiandiwka kwenye daftari la wagombea na list hiyo ndiyo imetumika kwenye ballot? Ulitaka iwe alphabetical kwa msingi gani, jina la kwanza, surname au jina la chama?
Una mtindio wa Ubongo sio bure. Karne hii huwez kumdanganya hata mtoto mdogo kwa maneno kama haya.Tuacheni propaganda za kutafuta scapegoats za kushindwa na kuchafua jina la nchi kwa sababu za kipuuzi. Nashindwa kuelewa chama kisichokuwa na grassroots kudai kuwa kinaibiwa kura! Mwaka 1995 mimi nikiwa NCCR-mageuzi tulihamasika sana pale Dar tukajua Mrema atachukua nchi, lakini tukasahau kuwa tulikuwa maarufu Dara na miji michache tu kwani hatukuwa na network kuzunguka nchi yote. CHADEMA imerudia makosa hayo ya kudhani kuwa ushabiki wa kwenye mitandao ndio kura za nchi nzima; ng'o!
Kila mtu alikuwa anarudisha kwa muda wake. Hakukuwa na ratiba ya kurudisha; ila tume ilikuwa inazuia wasirudishe wagombea zaidi ya momoja katika muda ule ule. Ilikuwa inawezekana kabisa wagombea wengi kurudisha kwa siku moja, ila tume ilikuwa inapokea mmoja mmoja kwa utaratibu wa first come, first serve.Kwani ratiba ya kuchukua na kurudisha form walijipangia vyama vyenyewe au Tume ndo iliwapangia???
Tusaidiane kueleweshana katika hili
Mliokulia katika mazingira ya kulalamika ndio mna matatizo ya ubongo; wengine tumekulia katika mazingira ya maarifa na ubongo wetu umekamilika sawasawa.Una mtindio wa Ubongo sio bure. Karne hii huwez kumdanganya hata mtoto mdogo kwa maneno kama haya.