IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,331
Lissu anajitahidi sana kuhamasisha watu waende barabarani ila wanampuuza tu. Sijui hajajishtukia kama watu hawana time nae?Asishangae barabarani akaingia peke yake.
Lissu anajitahidi sana kuhamasisha watu waende barabarani ila wanampuuza tu. Sijui hajajishtukia kama watu hawana time nae?Asishangae barabarani akaingia peke yake.
Nashukuru Mungu nimetimiza haki yangu kikatiba, Udiwani na Ubunge nimechagua CCM, Urais nimempa Lissu.
Najua Lissu hawezi shinda ila nimempigia kumuonyesha kuwa kuna watu tupo pamoja na yeye ingawa tupo CCM.
Unapoteza kura yako kijana bora ukae nyumbani.
Majina yalibandikwa vituoni siku chache kabla ya leo, je alienda kuhakiki?Niliamka mapema na mke wangu kwenda kituoni kupiga kura. Saa 7.05 nilikuwa kituoni.
Mke wangu hajaweza kupiga kura kwakuwa jina lake halikuonekana kabisa pale kwenye daftari. Na walikuwepo wengi ambao majina yao hayakuwepo mahala ambapo yalitakiwa yawepo. Na yeye ni mfanyakazi amelazimika kuwahi kazini.
Naomba tume itoe tamko itatue hizi changamoto mapema kadiri inavyowezana kabla hatujafika mchana.
Ndio mkuu nikidole cha mwisho kushoto mkuu.
Umeua mkuu,Sijalemba yani sijahangaika kusoma Kwingine
Nimemuona Jiwe nika tia Tick ya Maana sana Nadhani NEC wataniita Kuwa mtia tick bora Tanzania bara
Sahivi kuna Maandalizi ya Tafrija Fupi ya kupokea ushindi wa JPM
Ila wakala wa chadema hakuna.Nishampigia kura ndugu lissuView attachment 1614525
Si mlisema mwaka huu ccm watajua hawajui? Kumbe mlikuwa mna maananisha kususia zoezi?Unajua unachoongea, kwani watu kupuuza zoezi la kupiga kura ndio kuibiwa kura?
Chai hii😁😁😁😁John Heche, Chadema's Parliamentary Candidate for Tarime reports that homes of many polling agents in his area were invaded at night by the police who then detained them. As a result, there are no opposition agents in many polling centers.
Ni lazima awepo wa kwanza na wa mwisho, ulitaka iweje? Kwa mujibu wa maelezo ya tume walifuata urejeshaji wa fomu.Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana.
Nembo yako tuu inaonyesha kuwa ushindi tunao wa kishindoKapige kura Mkuu. Ni Lissu
Dereva wake yupo wapi?Alochokisema Lissu kuhusu shambulio lake ndio ukweli wenyewe, hata udhikiri uchi lakini habari ndio hiyo.
D, D, D, wamefunga funga ipi sasa,kwaresma au mweze wa ramadhani?Nimerudi nyumbani nipo nimetulia tuliiii,naburudika.
Mawakala wa Amsterdam waliopo vituoni mpaka Sasa hawajanywa chai,nimewauliza kulikoni wanasema eti wamefunga
Basi sawa mkuu na hongera kwa kupiga kura na kutumia haki yakoNdio mkuu nikidole cha mwisho kushoto mkuu.