NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Mwendo wa kujipakulia tu.Kwa hiyo mtaiba muwezavyo
Mwendo wa kujipakulia tu.Kwa hiyo mtaiba muwezavyo
Afadhali leo umeona uzwazwa wa NEC.Eti jina la Magufuli ndio la kwanza na la Lissu ndio la mwisho!
Mambo ya kitoto sana...
Kafie mbali, nyie ndiyo mnataka nchi yetu itawaliwe na diktetaNimedondosha tick kubwa kwa magufuli
Mkuu hicho pia ni kidole cha binadamu?Tayari nimesha mfyatua mtu, nipo home na popcorn naangalia picha linavyo kwenda.View attachment 1614514
Haswaa.katulie nyumbani ujiandae na kushangilia ushindi mnono wa JPM.Nimedondosha tick kubwa kwa magufuli
Maskini huu upuuzi hautakusaidia lolote
Haswaa.katulie nyumbani ujiandae na kushangilia ushindi mnono wa JPM.
mijitu kama hii inayokosa elemu ya uraia ni mingi sana,ndio maana inatumika kama pundaNEC kwanini huyu kada wa ccm amabye huwa tunamuona kwenye majukwaa akipiga kampeni kwanini bado anafanya kampeni?
View attachment 1614465
Aache visingizio! Mawakala hawana hela.John Heche, Chadema's Parliamentary Candidate for Tarime reports that homes of many polling agents in his area were invaded at night by the police who then detained them. As a result, there are no opposition agents in many polling centers.
Reserved: Ajili ya PICHA na video mbalimbali
Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu akiwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere, Dar es salaam tayari kuelekea Mkoani Singida kushikiri zoezi la upigaji kura.
BALOZI WA MAREKANI NCHINI TANZANIA AWATAKIA KILA LA KHERI WATANZANIA
Today is the day! Kila la kheri to all Tanzanians as they head to the polls to exercise their right to vote. Providing full access to observers and party agents, along with transparent tallying, will give credibility to this process.
IGP SIRRO APIGA KURA, ATOA NENO
View attachment 1614517
Haya yanatoka wapi tena wakati tulisema mwaka huu hatutalia tena, watalia wao. Mwaka huu hatubiwi tena, wataibiwa wao.
Sasa wewe unaleta tena haya unakuwa unaturudisha nyuma