Mangi 2007 ulikuwa mtoto?Nyani mzee umpige nani? Wewe humo humu toka nikiwa mtoto na sasa ni mtu mzima! Kavae pampas huko! Msukuma wewe kibabu chenye diapers. Halafu una low self esteem! We ni mporipori! Huna hadhi! Hata English haiwezi kukupa hadhi weee mtumwa shoga!
Kupata kichekesho km hiki tuma neno JIWE kwenda 777......Tuombe mdahalo wa Lissu na Magufuli tafadhali. Tuone ni nani ataingia mitini!
Lala mbele.Nenda ukamuulizie nyumbani kwake.
Mods wanafuta comment zanguHii haikuhusu. Kuna mtu nilikuwa namjibu swali aliloniuliza.
Kabisa..Mimi sikuwahi kuandika siasa ila leo imebidi niandikeSijawahi kupiga kura ila mwaka huu lazima nikapige, na nina imani sitoijutia kura yangu.
Ni semantics tuu hizo. Watu wanakufa kutokana na complications zinazotokana na wao kuwa wameathirika. Chances are wasingekuwa na Ukimwi hayo magonjwa mengine yasingewapata. Ndio maana Mandela alitangaza wazi kuwa mwanae alikuwa muathirika na kifo chake kimesababishwa na status yake kama muathirika. Sisi hatusemi hilo kwa sababu bado huo ugonjwa umekuwa stigmatized. Na ndivyo ilivyo kwa Corona.Nimekuelewa. Na ndo maana nikasema kuwa hakuna ugonjwa uitwao UKIMWI. Au upo?
Unapopungukiwa na kinga za mwili, unakuwa susceptible kwa magonjwa mengi.
Na mwishowe hayo magonjwa ndiyo yatakuua.
Sasa ukiugua cryptococcal meningitis ambayo umeipata kutokana na kuwa na kinga hafifu mwilini, ukifa unataka watu waseme umekufa kwa UKIMWI au maambukizi kwenye uti wa mgongo?
Hii haikuhusu. Kuna mtu nilikuwa namjibu swali aliloniuliza.
Sidhani kama ilikuwa kutoa taarifa kwa boss bali ni jambo la kawaida hata mwanao kwa mfano hukuwa naye kwa muda mrefu, akirudi utamjulisha yaliyotokea wakati hayupo.Naomba kuuliza hivi Mbowe na Lisu nani bosi? Nauliza hivi sababu nimeona Mbowe anatoa taarufa ya chama kwa Lisu sasa hata sielewi kwa kweli. Hata hivyo tunashukuru Polisi wamesikia maelekezo ya kutoingilia msafara kumekuwepo usalama sasa tuwaachie wenyewe wapange mipango yao.
Hilo swali kauwaulize wapuuzi wenzioNaomba kuuliza hivi Mbowe na Lisu nani bosi? Nauliza hivi sababu nimeona Mbowe anatoa taarufa ya chama kwa Lisu sasa hata sielewi kwa kweli. Hata hivyo tunashukuru Polisi wamesikia maelekezo ya kutoingilia msafara kumekuwepo usalama sasa tuwaachie wenyewe wapange mipango yao.
Ulichoona uwanja wa taifa ndio msimamo wa serikali ya CCM. Naulizia msimamo wa CHADEMA juu ya COVID-19 ni upi? Au hukumbuki kwamba walitoka bungeni kwa sababu ya COVID-19? Ukiweka ushabiki pembeni utaelewa vizuri ninachotafuta.