Sitarajii kuona comments ya namna hii kutoka kwako
Mimi ni nani niwe tofauti na auntie yanguSijawahi kupiga kura ila mwaka huu lazima nikapige, na nina imani sitoijutia kura yangu.
unamtisha nani? we mganga njaa tuOooo uko pande zipi nije kukupa salaam mwana JF mwenzangu ndio kipind Cha kujuana HIKI kaka
Burundi pia ilikombolewaNi wapumbavu tu wanaodhani nchi HAIJAKOMBOLEWA........
Relaaaaax mbona unaingia BONGONI mwangu Kaka,Mimi nilikuwa airport km raia mwingine nikataka kukutana na kusalimiana na mwanaJF mwenzang Sasa mbona umekuja kivibaya?unamtisha nani? we mganga njaa tu
Siyo kudeki tu barabara hata mkilamba hamambulii chochoteSafari hii sio push up pekee kuomba kura,atabanwa mbavu mpaka aanze kupiga sarakasi na kichura chura jukwaani kuomba kura!
Kumbuka waoga hawataurithi ufalme wa MunguMko dunia ya tatu mkivunjwa viuno na vidole msisahau kutupa mrejesho mi nasubiri tu hapa km kawaida