Mmh!Ina maana huo umati uilikuwa na nguvu kuliko maandamano yeyote ya Chadema yalowahi kutokea nchi hii au kuliko mambo yeyote ambayo polisi washawahi kuyaingilia au ni kujifanya tu kuwa huwajui wa Tanzania
Mmh!Ina maana huo umati uilikuwa na nguvu kuliko maandamano yeyote ya Chadema yalowahi kutokea nchi hii au kuliko mambo yeyote ambayo polisi washawahi kuyaingilia au ni kujifanya tu kuwa huwajui wa Tanzania
Ofcourse we are heading to win presidency 2020 octoberMkuu 'Chesty', sema CHADEMA walitumia akili kubwa kuepuka vishawishi vya kufanya mambo ambayo yangewasababishia kufutwa kabisa.
Mengi ya waliyofanyiwa ilikuwa ni mitego ya kichokozi, ili waingie kichwa kichwa na wamalizwe.
Wanastahili pongezi kwa kuiepa mitego yote ile. Sasa wajipange kwa ushindani halisi kuwavuta wananchi upande wao.
Hakuna wenye matusi kama wanaccm na especially wanapoona wanalindwa na mifumo. They can do anything!Maendeleo ni matusi? Vijana wengi wa chadema ni washirikina na watovu wa Nidhamu
Ilishauriwa muda mrefu upi, lete barua ya kutengua iliyokuwa imeandikwa kabla, sema mmezidiwa maarifa na uelewe kuwa maonevu yana mwisho hata south africa kaburu hakujua kama ipo siku mwafrika ataingia ikulu.Ina maana huo umati uilikuwa na nguvu kuliko maandamano yeyote ya Chadema yalowahi kutokea nchi hii au kuliko mambo yeyote ambayo polisi washawahi kuyaingilia au ni kujifanya tu kuwa huwajui wa Tanzania...
'Modesty', mkuu 'Pythagoras'!Ofcourse we are heading to win presidency 2020 october
hahahahhahaaaaaMchezo bado sana, Safari hii sio push ups tu lazima wapige sarakasi majukwaani kuomba kura!
Out of context. Be human before speaking nonsense
Mafuriko ya kufikirika![/QUOTE]Weee utakuwa unavaa miwani ya mbao .. mafuriko ya kufikirika ndo mdudu gani??[QWUOTE="Troll JF, post: 36150091, member: 272540"]
Mafuriko ya Lissu
Sawa.Ilishauriwa muda mrefu upi, lete barua ya kutengua iliyokuwa imeandikwa kabla, sema mmezidiwa maarifa na uelewe kuwa maonevu yana mwisho hata south africa kaburu hakujua kama ipo siku mwafrika ataingia ikulu.
Hahahaaa....... Hawana jipya wameshaharibu nchi yetu nzuriThis year watapiga nyeto
Bila Shaka yoyote mkuu...Tundu Lissu anapendwa na vyombo vyote vya Dola ni vile tu hawajiweki wazi. Vyombo vya dola vinajua maamuzi ya Jpm hayana tija kwa taifa.