Mkuu 'Chesty', sema CHADEMA walitumia akili kubwa kuepuka vishawishi vya kufanya mambo ambayo yangewasababishia kufutwa kabisa.

Mengi ya waliyofanyiwa ilikuwa ni mitego ya kichokozi, ili waingie kichwa kichwa na wamalizwe.

Wanastahili pongezi kwa kuiepa mitego yote ile. Sasa wajipange kwa ushindani halisi kuwavuta wananchi upande wao.
Ofcourse we are heading to win presidency 2020 october
 
Ina maana huo umati uilikuwa na nguvu kuliko maandamano yeyote ya Chadema yalowahi kutokea nchi hii au kuliko mambo yeyote ambayo polisi washawahi kuyaingilia au ni kujifanya tu kuwa huwajui wa Tanzania...
Ilishauriwa muda mrefu upi, lete barua ya kutengua iliyokuwa imeandikwa kabla, sema mmezidiwa maarifa na uelewe kuwa maonevu yana mwisho hata south africa kaburu hakujua kama ipo siku mwafrika ataingia ikulu.
 
Out of context. Be human before speaking nonsense

Respond to what I have expressed, to be human or otherwise is an issue which I am not advancing. I need your mind to flow. Or are your teling us that the above is what your mind can go?
 
Ukatili Tundu anaomfanyia Magu ya bidi akamatwe kwa kosa la kumwonea raisi kama alivyo kamatwa Idrissa.
 
Rais anaonewa sio??! Wewe ni Taga tu halafu waambie mataga wenzako waliomo humu JF watumie akili sio kuleta propaganda za chekechea.
 
Ilishauriwa muda mrefu upi, lete barua ya kutengua iliyokuwa imeandikwa kabla, sema mmezidiwa maarifa na uelewe kuwa maonevu yana mwisho hata south africa kaburu hakujua kama ipo siku mwafrika ataingia ikulu.
Sawa.
 
Back
Top Bottom