residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Sura yako imekaa "kidemocratic democratic".Sura Zimekaa Kisharishari........
Sura yako imekaa "kidemocratic democratic".Sura Zimekaa Kisharishari........
Mkuu, Acha masihala basiWewe upo airport ya chato unalalamika nini
Tusubirini Mh.rais anatua within 10 minutes from now. Kwahakika mapokezi ni makubwa.
Hapana, ni web page.Ni app ama!?
Upo mgawanyiko mkubwa chadema wengi wakitaka Lisu na wachache wa nyalandu
Hatutanii hatutanii hatutaniiii tumejitokeza kwa wingi kiukweliView attachment 1518412
Kila siku wanawaita CDM wanaharakati, hawajui haya matendo yao ya hovyo ndio yanayowafanya CDM waamue kupigania haki zao kwa nguvu, na kwao mtu akilazimisha kutaka apewe haki yake anaitwa mwanaharakati au analeta vurugu, ni vyema watambue, mpaka siku watakapokoma kuonea wengine ndio hizo wanazoziita harakati za CDM zitakoma, vinginevyo hizo harakati zitaendelea tu.Wakati mwingine ni matumizi mabaya tu ya madaraka. Hivi juzi watia nia wa ccm walikuwa wanagawa rushwa kama njugu hadharani, hao watu wa usalama hawakufanya lolote. Lakini leo wameagizwa na wanasiasa ili waonekane wanafanya kazi, kwa kumsubiri mwanasiasa ambaye hakuwa mkimbizi, hana sifa ya kuendesha makundi ya yanayomiliki silaha, wala hajawahi kuingia msituni, anapokelewa kama gaidi.
Mambo haya ndio yanapelekea wazungu kutuita manyani. Mtu anakuja mchana kweupe, na katangaza kabisa, kuna haja gani kwa vyombo vya usalama vinavyojitambua kwenda kujenga taswira ya uhasama usio na sababu yoyote, ili kukidhi kiu ya mwanasiasa anayeongoza nchi? Hapa ndio tunapotaka katiba irekebishwe, na baadhi ya mamlaka ziondolewe kwa rais, ili taasisi zetu zibaki kufanya kazi kwa weledi, badala ya kutumiwa kwenye siasa chafu.
Kumekucha !
Kumbe WAKITOKA terminal 3 wanaelekea UFIPANI...
Umeonaeeeee? Baada ya miaka 5 ya kutopata nafasi ya kuongea au kutoa mawazo kisiasa lkn bado watu tumefurika vya kutoshaSasa ndo naelewa kwa nini Magufuli alipiga marufuku siasa bongo
Na msura wako huoHatutanii hatutanii hatutaniiii tumejitokeza kwa wingi kiukweliView attachment 1518412
Tutamsindikiza lissu hadi makao makuu ufipa...
Lakini ni lazima aoneshe ushirikiano
Barakoa inafanana na titi 1 lililokatwa.COVID-19 imeisha?! No more masks, no social distancing etc. Hapa ndio ninatatizwa na sera za vyama vya upinzani hapa nchini.