Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kitaeleweka tu mkuu
Kila siku wanawaita CDM wanaharakati, hawajui haya matendo yao ya hovyo ndio yanayowafanya CDM waamue kupigania haki zao kwa nguvu, na kwao mtu akilazimisha kutaka apewe haki yake anaitwa mwanaharakati au analeta vurugu, ni vyema watambue, mpaka siku watakapokoma kuonea wengine ndio hizo wanazoziita harakati za CDM zitakoma, vinginevyo hizo harakati zitaendelea tu.