Magari Nusubei
Senior Member
- Dec 3, 2020
- 101
- 61
- Thread starter
- #141
Mitaa ya kishua..njoo ushushe mjengo wako hapa
Nyumba imeshapimwa na ina mawe haina mgogoro..kama ina hati na mwenye majina kwenye hati wapo naomba tuwasiliane pm,mchana tumalize zoez
Si kama hatutakiJenga ukumbi,mall,maduka au apartments ...
Mazingira ni ya kishua na potential sana kibiashara
karibu mkuuMbezi Africana hasa huo mtaa umenikumbusha mbali sana
karibuuOkey