yanauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Mashamba ya miti ya mbao yanauzwa

    Kwa wale waliotayari kuwekeza kwenye uwekezaji usio na hasara mnakaribishwa sana. Mashamba ya miti ya mbao aina ya MIKARIBEA pamoja na ardhi yake yanauzwa. La kwanza lina ukubwa wa ekari tatu na nusu na miti yake ni umri wa miaka 7 bei ni milioni 10. La pili lina ukubwa wa ekari 30 ivi kwa...
  2. D

    INAUZWA Makabati 2 ya kioo ya Aluminum ya Pharmacy/Duka la dawa yanauzwa

    Yapo Dar es Salaam Buguruni Rozana. Bei sh 500,000/=. Simu: 0677759159, 0752113939
  3. edwin89

    Makreti ya bia kampuni ya serengeti yanauzwa

    Kreti za serengeti zipo 100 zinauzwa na chupa zake. Kwa wanaofungua stoo ya bia za jumla. Elfu 10,000 kwa kreti moja.karibu sana.
  4. M

    Ni magari gani Tanzania showroom yanauzwa chini ya sh `10M

    Habari Husika na kichwa cha habari hapo juu. nina bajeti ya sh hiyo hapo juu nataka kununua gari kutoka showroom hapa bongo lililotoka japan. AU Je naweza agiza gari aina gani na kwa bei hiyo toka japan? Nina bajeti hiyo washkaji nipeni ushauri wa kiukweli sio utani. Asante
  5. C

    Makabati na mlango vinauzwa

    Makabati na mlango vinauzwa bei 1.8m maongezi yapo ukihititaji kimoja pia sawa 0685415869
  6. J

    Mahindi tani 30 yanauzwa, unaletewa mkoa uliopo

    Wakuu kuna tani 32 za mahindi zinauzwa, bei itategemea na sehemu ulipo maana nakuletea, ama ukiamua kuyafuata mwenye pia sawa Kwa maelezo na mawasiliano zaidi nicheki inbox
  7. kali linux

    TWITTER API HACKED: Mamillion ya data za watumiaji wa twitter yanauzwa

    Hello bosses..... Musk alikosea sana kufukuza fukuza watu hovyo, mm shabiki yake lkn kwa hilo alikosea, makampuni mengi yamefanya layoff ila yanaenda polepole sio kwa speed ya kufukuza watu wengi kiasi kile. Sasa watu wamedukua twitter masaa mawili yalopita, data za zaidi ya watumiaji million...
  8. daraja la kigamboni

    Kwa nini haya magari used yanauzwa bei ndogo sana?

    Mark 2 Mark X Passo Haya magari yakiwa used hapa nchini yanauzwa bei ndogo sana ukilinganisha na mengine yenye umri sawa mfano IST, VITZ Nawasilisha
  9. A

    INAUZWA Mabegi yanauzwa

    Wasalamu kwa wote Mabegi yanauzwa kwa Bei ya jumla. Nikwawakazi wa Arusha na Moshi. Agiza tukuletee ulipo. Bei ni 16,000 chini ya pic 100. Ila kuanzia pic 100 ni shilingi 15,000. Karibu asante Kwa mawasiliano 0717636375
  10. W

    Land for sale 5000ecres / mashamba yanauzwa Njombe ekari 5000

    Mashamba Yanauzwa Mkoani Njombe zaidi ya ekari 5000 kwa wale wanaopenda kulima Parachichi basi mashamba haya yanafaa sana Barabara ipo mpaka shambani maji yapo mpaka shambani wahi sasa msimu umeanza. Mawasiliano 0766480491.
  11. Q

    SOLD: Used Simtank 5000Litres yanauzwa Magomeni

    Used Simtanks mbili za Lita 5000 Kila mmoja yanauzwa Magomeni Mikumi. Kila mmoja linauzwa kwa 250,000. Kwa mawasiliano Zaidi piga namba 0687320462 au 0693890769.
  12. financial services

    Mapazia 6 yanauzwa, yote TZS 100,000/=

    Habari ya weekend wakuu! Husikeni na tangazo hapo juu, Mapazia 6 used kidogo yanauzwa 4 ni rangi ya maroon 2 meupe yanafaa kuwekwa sitting room au bedroom nk. Huwa yanawekwa Mapazia 3 dirisha 1 hivo 6 yatafaa kwa madirisha 2, bei yake jumla ni 100,000/= dukani huuzwa sh 30k hadi 35k kwa kila...
  13. C

    INAUZWA Makochi used yanauzwa Mbweni JKT

    Habarini wandugu, Nauza makochi yaliyotumika (3-seater na 2-seater) ya ngozi nyeusi. Bei laki 4 elfu 50. Makochi yanayo mito ya ziada ya chini ambayo nimeyahifadhi. Yanapatikana Mbweni Malindi/ JKT. Piga 0759970963
  14. Star onair

    INAUZWA Mahindi yanauzwa, karibuni

    Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia) Debe la mahindi utapata KWA 8500 Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa. Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k. Ila ofa hii ipo KWA kipindi hiki cha Ramadhani baada ya hapo haitokuwepo tena wahi sasa KWA 8500 tu. Karibuni
  15. T

    INAUZWA Sofa (makochi) mawili yanauzwa

    Zimeondoka tayari
  16. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Mbwewe barabara ya Tanga kabla ya kufika mkata Mashamba kilomita Kilomita 1 Kutoka barabara kuu ya lami : 250,000 kwa heka Kilomita 3 Kutoka barabara kuu ya lami : 200,000 kwa heka Kilomita 10 Kutoka barabara kuu ya lami : 100,000 kwa heka MUHIMU : Unaweza kupata Kuanzia acre 10 Mpaka acre 500...
  17. M

    Car4Sale Magari aina mbalimbali yanuzwa

    Toyota HARRIER [D.J.M] Year : 2006 Capacity : 2360cc Mileage : 89,000kms Price : 17.5M Location: Mbezi Beach Call : 0717436363 Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom