Kwa wale tunaopenda kujenga pembezoni mwa ufukwe wa ziwa ama bahari tuchukue tahadhali.
Jana habari fukwe za Afrika kusini zilivamiwa na mavimbi makubwa sana ya maji na kuharibu mali kwa kiwango kisichoelezeka.
Tukumbuke pia mwaka 2020 mvua ilinyesha ikavunja rekodi ya kiwango cha juu sana cha...
🏖️ Kaole Beach Plots Project!
Je, Unataka kuwa jirani na bahari? Mradi wa Viwanja Kaole Beach Plots unakusubiri! Eneo lipo mita 500 tu kutoka baharini, Bei ni TZS 13,000/= kwa mita ya mraba.
Huduma zote za kijamii zinapatikana, ikiwa ni pamoja na maji, umeme, na barabara. Mradi wa viwanja 48...
Mali inayouzwa: Nyumba ya kupangisha yenye jumla ya vyumba 3 na nyumba moja kubwa ambayo bado ujenzi wake unaendelea.
Ukubwa wa plot: futi 100*50 (465 sq metres).
Mahali: Chamazi, karibu na Azam Complex.
Inafaa kwa: Makazi na/au biashara
Contact person : 0693 750 391/0711 751 197 (Mr Ngunga)
Wanandugu KIWANJA KIPO SOKONI
(40 urefu kwa 22upana)
Sifa ya kiwanja
1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari na pikipiki
2. Hakipo mbali na Barabara kuu ya lami yaani itokayo huko BUNJU KWENDA HUKO MWENGE NA MAKUMBUSHO utaona mwenyew ukiwa eneo la tukio au tazama picha chini...
In a bid to end US hegemony and bullying,top Arab leaders including Saudis and Iranians are meeting in China to plot ‘end’ of American global dominance.While nations are now openly challenging US hegemony and bullying,Tanzania is coming closer to the American Empire of Lies and Evil.This is...
Plot for sale at Ungindoni Kigamboni, located 200 meter from main road.
ideal for commercial and residential investment.
Asking price ; 380M Tshs.
for more info contact;
+255 712 347 749
+255 746 474 849
Ungindoni plots
👉 Viwanja Kigamboni Kimbiji
👉 Mashamba tambalale
Kwa ufupi.
Eneo la ekari 3.5 beach area
Lipo mkoa wa pwani Kisiju
Karibia na bandari ya Kisiju
Kituo ni Sotele
Km 87 kutoka City Center DSM
Bei ni milioni 12. (Negotiable)
+255746 474849
Update**
Heka zaidi ya 100 zinauzwa kisiju wilaya ya...
Habari gani wanazengo? Nahitaji Plot safi maeneo ya Moshono, Arusha.
Budget yangu TZS 7,000,000/= mpaka 9,000,000/=
Kati ya Sqm 450 na 600sqm
Kisiwe mbali na Lami.
Iwe imepimwa safi kabisa.
Mwenyenacho, tafadhali tutafutane.
Plot for sale in Zanzibar - Makunduchi:
Area : Makunduchi, opposite VETA college.
Document : Title deed
Distance: 1.5 kilometer from the beach (Clove Island Zanzibar Villas)
Location: 6°24'27.6"S 39°33'52.2"E
Size: 600 square meters
Contact: 0682955526
Price: TZS 20 million
Karibuni wakuu.
Kiwanja kipo Msangani, Karibia na zahanati ya Kibaha kwa Mathias Msangani.
Ukubwa mita 20 kwa 24
Milioni mbili na nusu
Km 6 toka Morogoro road
Umeme na maji vipo
+255 762 689 034
IMPORTANT NOTE : Hakuna dalali!
Eneo liko baada tu ya roundabout ya kuingia Bagamoyo (kituo cha daladala cha Kosovo) na ni hapo hapo barabarani.
Eneo lina ukubwa wa 120 * 93 (m), kuna nyumba ya ghorofa moja (3 bedrooms/Jiko/ Ukumbi na mbele kuna frame 3 kubwa sana (6*8 m)
Bei ni 450...
Njoo upate eneo la biashara lenye magorofa ya kutosha, haina udalali mmiliki ni mimi mwenyewe.
Hati ipo
Unaweza kwenda jiji ukamchukua surveyor mwenyewe mkaenda nae hata bila kuniambia ukiridhika nipigie namba 0753477905 tufanye biashara.
Napakana na bustan jafo waziri(inapita katikat ya...
Tafadhali, naomba msaada wa kujua bei ya ngozo tajwa hapo juu kwa watu wanakaa sehemu za Kijichi na kuendelea mbele.
Nataka kuzinunua na cement, pamoja na kokoto kama wajua bei au unauza nisaidie nijue bei pia. Shukran
CHAGUA KUWA NA FURAHA, CHAGUA KUKUA , CHAGUA KUMILIKI ARDHI
PATA VIWANJA VILIVYOPIMWA KUTOKA KWETU TRUST SOLUTION COMPANY LTD, KWA BEI NAFUU KABISA .
MALIPO YETU YAPO YA FEDHA TASLIMU (CASH) na MKOPO BILA DHAMANA.
TUMEKULETEA MIRADI HII IPO KIGAMBONI BUYUNI na KIGAMBONI MBUTU KICHANGANI...
Habari Wadau, Nauza Plot yangu yenye ukubwa wa 1000SQM, Plot iko Salasala Buzilili Street, Plot ina good view ya Indian Ocean (boti ya Zanzibar inaonekana vizor kabisa), Plot in a access ya Barbara mbili...
Price Tzs 32MN KWA MOJA (ZIKO MBILI)
Karibuni
Unapoweka Lengo au unapolielekea Lengo Ulilojiwekea na Ukaona Kuna Vikwazo Vingi Katika Kulifikia au Kulielekea Lengo Hilo Kamwe Usibadili Lengo Lako.
Jambo Muhimu Ni Kubadili Njia , Mkakati au Mbinu za Kulifikia Au Kulielekea Lengo Hilo .
NUNUA VIWANJA NA TRUST SOLUTION COMPANY LTD.
TRUST...
Wakuu,
Niliandika hapa Novemba 2020 (ref Natafuta Kiwanja cha kujenga jijini Dar. Nina Sh. Milioni 40 ) nikitafuta kiwanja na wakati huo nilikuwa na 40m tu. Viwanja vingi nilivyopelekwa ilibidi nirudi kujipinda nitafute pesa zaidi ili nipate kiwanja ninachotaka hasa. Kwa sasa bajeti yangu ni...
Kiwanja kinauzwa haraka Singida kipo maeneo ya uwanja wa ndege. Ni flat hakihitaji levelling. Bei rahisi 4m tu. Vile vile, kuna viwanja vya size mbalimbali vinauzwa eneo la Mwaja, SIngida. Kwa mawasiliano zaidi piga 0787-851
Beach plot inauzwa Nunge Beach Bagamoyo Mjini. Nunge Beach ni maeneo ya ilipokuwa Paradise Hotel and Resort. Ni eneo linalofaa kujenga Hotel za kitalii. Size ya kiwanja ni 11 acres. Bei ni $2M. Serious customers wawasiliane nami kupitia 0687320462.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.