eneo lina hati inayoruhusu shughuli ya kibiasharaMmh kwa serekari ya Bongo ni hatarii na nusu kujenga karbu kabsa na barabara.
Asante mkuu. Ngoja tujipapase mfukoni. Tutakucheki pm.Shamba lipo fukayosi bagamoyo..lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
Lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road, shamba lina heka 15.
Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote.
Bei ni milioni 18 (18,000,000/=) tu
nauza lote sikati nusu nusu.
Mawasiliano 0677 818283
View attachment 1904088
Mawasiliano 0677 818283Asante mkuu. Ngoja tujipapase mfukoni. Tutakucheki pm.