Mmh kwa serekari ya Bongo ni hatarii na nusu kujenga karbu kabsa na barabara.
 
viwanja vipo viwili kila kimoja ni sqm 1503
viwanja vipo madale kwa kawawa km 1.5 kutoka barabara ya lami ya goba njia nne - Madale
VIWANJA VINA HATI MILIKI VYOTE.
BEI NI MILIONI 65 KWA KILA KIMOJA.
MAWASILIANO
0677 818283.

madale.png
 
Shamba lipo fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.

Lipo Fukayosi Bagamoyo - km 10 kutoka Bagamoyo road, shamba lina heka 15.

Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote.

Bei ni milioni 18 (18,000,000/=) tu

Nauza lote sikati nusu nusu.

Mawasiliano 0677 818283

shamba.jpg
 
Shamba lipo fukayosi bagamoyo..lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.

Lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road, shamba lina heka 15.

Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote.

Bei ni milioni 18 (18,000,000/=) tu

nauza lote sikati nusu nusu.

Mawasiliano 0677 818283

View attachment 1904088
Asante mkuu. Ngoja tujipapase mfukoni. Tutakucheki pm.
 
Back
Top Bottom