JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Heka Heka za Ndoa.
Hey wajaa!
Kumbe huko ndoani, kuna njegeka hivii? Watu na ndoa zao mjinii, afu sio shida zao sasa.
Ktk kitu nachochukia na sipendi ni UNAFIKI na KUTOJIKUBALI/ KUKUBALI UHALISIA, kwann uzunguke? Kwann uishi maisha ya mateso? Mahangaiko, eti kisa kuridhisha waja na jamii! Ili iweje yaan? Na kwa...