Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,648
- 20,987
Nimeota ndoto mbaya sana,wakati wa mwenda zake mola wetu alikuwa nasi kwa karibu sana hivyo alitufurahia sana watanzania kwa kuonyesha tumaini letu kwake yeye aliye mkuu wa kila kitu,Nashauri pamoja na kuwa na machanjo mabarakoa keeping distance and freq washing up our hands bado haotoshi DUA za kunutu na dua nzito nzito za kikristo na madhehebu mbali mbali zinahitajiwa haraka sana ''MUNGU WETU NI MUNGU MWENYE WIVU SANA''kwa kuwa tulishaamua kujiweka mikononi mwake pamoja na yote yajayo tusiiache njia ambayo tuliitumia hapo awali.