...ni ka swali tu, viongozi wote hasa wateuliwa na wabunge hawavai kabisa barakoa. Iwe kwenye mazishi, mikusanyiko mbalimbali nk hutawaona wamevaa barakoa.
Au watakuwa washapigwa chanjo kisirisiri wanatupoteza maboya wenzao?
...Leaders lead by examples. Wananchi wengi wenye low reasoning capacity wanasubiri leaders wavae magwanda ndo nao watimbe! Please leaders tunaangamizana!
NB: Mie navaa barakoa, wewe je?
Trumpeta kaacha historia duniani!