Jana mrusi tulimkosakosa tena... Leo sio jana tunatiririka nae kama sheria...
Kama unatumia app log out then ingia kwa website ikishindikana na hapo wacheki kwa email huwa wanarespond haraka sanaNaitaji msaada jaman namba ambayo ntwapata meridian kwa haraka hela nimekula nina shida nayo aitoki afu nikiwapigia nakutana na maelezo afu simu badae inakatwa
Jana mrusi tulimkosakosa tena... Leo sio jana tunatiririka nae kama sheria...
Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
Agiza rafiki yako aende shop yoyote ya Meridian akutolee huko via shop.Naitaji msaada jaman namba ambayo ntwapata meridian kwa haraka hela nimekula nina shida nayo aitoki afu nikiwapigia nakutana na maelezo afu simu badae inakatwa
Night sikucheki nilikua busy kidogo nimeiona asubuhi...Hukuwa online night?? Niliweka code (single game). Ilitoa vizuri
Night sikucheki nilikua busy kidogo nimeiona asubuhi...
Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
Baada ya mbili kuwin nikaomba mshiko moja nikaachana nayo mapemaUmepigwa za uso hapo
Baada ya mbili kuwin nikaomba mshiko moja nikaachana nayo mapemaUmepigwa za uso hapo
Mkuu tuongeze code sportybet bigboi8FD9524 BETPAWA