rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,568
- 42,154
Wee unawezaanipo hapa nacheka peke yangu kama kichaa, hivi burnely ndio wa kushindwa kufunga hata kagoli kamoja kweli?.
Wee unawezaanipo hapa nacheka peke yangu kama kichaa, hivi burnely ndio wa kushindwa kufunga hata kagoli kamoja kweli?.
Wee unawezaa
nipo hapa nacheka peke yangu kama kichaa, hivi burnely ndio wa kushindwa kufunga hata kagoli kamoja kweli?.
Ushajilipa mshahara mkuu...!!Another one ... 100% sure betView attachment 2498563
Acheni kutumia kampuni za uchochoroniWakuu.
Naomba namba ya Helabet niwapigie
Mkuu Kanji hafanyiwi hasira wala hanuniwileo navunja kanuni yangu, narebet, haiwezekani mikeka 9 yote ipotee.......
kama watakula ngoja nivaongezee wa 10 wamalizie vizuri,
al masry, wolfsburg, macabi ipo siku tutakutana bana
PUCHU = INTER MILAN FC & BURNLEY FCInter ni makalioo
Hongera sanaAnother one ... 100% sure betView attachment 2498563
Mkuuu kama hujazaa itakuwaje sasa maana mwishowe watoto wote kanjibhai atawamalizaPUCHU = INTER MILAN FC & BURNLEY FC
Pigaa kimojaa ulalee mkuuPUCHU = INTER MILAN FC & BURNLEY FC
Inter kocha wao naye kaweka mkekaInter ni makalioo
kinachokukatisha moyo ni:DAH NATAMANI KUACHA KUBET ASEEEE