kodi ya nyumba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Annie X6

    Tofauti ya pango la ardhi na kodi ya nyumba

    Katika matangazo yanayotolewa Kuna Kodi zinatajwa Kwa wadaiwa sugu. Ile inayokatwa kwenye umeme na inayodaiwa ikalipwe wizara ya ardhi zinatofaiti ipi. Wananchi sijamuona hata mmj anayekwenda kulipa hizi Kodi. Msaada wa utambuzi
  2. M

    Kaka Mwigulu Tozo ya kibenki ni Ujambazi, hamia 10% Kodi ya Nyumba

    Sina mengi ujumbe uko wazi Singida Big Stars ni mfano wa hizo apartments za madolari, acha kulia Kwa uhuni wenu jikite na hoja, akili za kitozo tozo ni uzuzu, toa hata arguments za kiakili et ooh tozo ni maoni ya wananchi, ujinga wa kizuzu double taxation ni ya wananchi wa kawaida? Mbona hoja...
Back
Top Bottom