Oy pale ukitaka kudeposite helabet naona kuna sehem ya kujaza kiasi halafu kuna email pale na first name na second name, pale ni lazima kujaza au vipi? Na vipi kama wakati nafanya registration hivyo vitu sikuviweka?
email yako ata km Mwanzo hukuek...kujaz lazim
 
Single Bet ... uhakika 100% ..
IMG-20230128-WA0000.jpg
 
Habari wakuu samahani nataka kutoa pesa kutoka 1xbet kuingia kwenye MasterCard ya Airtel money, sasa hatua ya Kwanza ya kujaza card number na CVV Nishafaulu hapa ndio nashindwa, hapa kwenye kipengere cha document issue date, document number na permanent registered address naombeni mnisaidieView attachment 2498141
Mkuu ukiweza kutoa hela kwa Mastercard ya airtel money..utupe mrejesho plz
 
Habari wakuu samahani nataka kutoa pesa kutoka 1xbet kuingia kwenye MasterCard ya Airtel money, sasa hatua ya Kwanza ya kujaza card number na CVV Nishafaulu hapa ndio nashindwa, hapa kwenye kipengere cha document issue date, document number na permanent registered address naombeni mnisaidieView attachment 2498141

Haiwezekani, hilo swala limeongelewa sana humu,
Anyway ukifanikiwa tupe mrejesho, huenda sisi kuna mahali tunakwama.
 
Habari wakuu samahani nataka kutoa pesa kutoka 1xbet kuingia kwenye MasterCard ya Airtel money, sasa hatua ya Kwanza ya kujaza card number na CVV Nishafaulu hapa ndio nashindwa, hapa kwenye kipengere cha document issue date, document number na permanent registered address naombeni mnisaidieView attachment 2498141


Jaza namba yako ya NIDA, na mwaka ambao kilikuwa issued.

Usisahau kujaza issued by NIDA.
 

Attachments

  • 7880d051-42cb-41b3-ba27-e54852939c39.jpg
    7880d051-42cb-41b3-ba27-e54852939c39.jpg
    32.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom