Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565
Mechi za hatua ya Makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika kuendelea tena leo tarehe 08.07.2023

Yanga kutoka katika kundi D watakuwa ugenini kumenyana na Madeama ya nchini Ghana. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 1:00 jioni katika uwanja wa Baba Yara nchini Ghana.

Je, wawakilishi hawa wa Tanzania wataondoka na alama tatu?

1702048214006.png

Kikosi cha Yanga kinachoanza
1702048311144.png

Kikosi cha Madeama kinachoanza
GA16SrLXIAE6FYf.jpeg
GA1tmeCWgAAoFbv.jpeg



- Mchezo umeanza

- Madeama wanapata penati 25'

- Goooal Madeama 1 - 0 Yanga

- Goooal Yanga wanasawazisha 1 - 1

Mpira umekwisha Madeama 1 - 1 Yanga
---
Magoli ya Jonathan Sowah wa Medeama na Pacome Zouzoua wa Yanga yameziwezesha timu hizo kutoka sare katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Kundi D uliopigwa kwenye Uwanja wa Kumasi Nchini Ghana

Mchezo mwingine wa Kundi hilo AlAhly ya Misri imepata matokeo ya 0-0 dhidi ya CRBelouizdad ya Algeria

Baada ya mechi hizo, Al Ahly inaongoza ikiwa na pointi 5, CR Belouizdad (4), Medeama (4) na Yanga ina (2)
 
😂😂😂
Nnachowapenda hawa jamaa nyimbo zote kali kali wanatunga wao

Leooo leo ndo leo leeoooo kivumbi na jasho😂😂



Hatujamalizaaaaa aaaa
Medeama wamesema 😁
 


Mechi za hatua ya Makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika kuendelea tena leo tarehe 08.07.2023

Yanga kutoka katika kundi D watakuwa ugenini kumenyana na Madeama ya nchini Ghana. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 1:00 jioni katika uwanja wa Baba Yara nchini Ghana.

Je, wawakilishi hawa wa Tanzania wataondoka na alama tatu?

Malengo kama malengo 👍🏾
 
Back
Top Bottom