Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,815
- 4,565
Mechi za hatua ya Makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika kuendelea tena leo tarehe 08.07.2023
Yanga kutoka katika kundi D watakuwa ugenini kumenyana na Madeama ya nchini Ghana. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 1:00 jioni katika uwanja wa Baba Yara nchini Ghana.
Je, wawakilishi hawa wa Tanzania wataondoka na alama tatu?
Kikosi cha Yanga kinachoanza
Kikosi cha Madeama kinachoanza
- Mchezo umeanza
- Madeama wanapata penati 25'
- Goooal Madeama 1 - 0 Yanga
- Goooal Yanga wanasawazisha 1 - 1
Mpira umekwisha Madeama 1 - 1 Yanga
---
Magoli ya Jonathan Sowah wa Medeama na Pacome Zouzoua wa Yanga yameziwezesha timu hizo kutoka sare katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Kundi D uliopigwa kwenye Uwanja wa Kumasi Nchini Ghana
Mchezo mwingine wa Kundi hilo AlAhly ya Misri imepata matokeo ya 0-0 dhidi ya CRBelouizdad ya Algeria
Baada ya mechi hizo, Al Ahly inaongoza ikiwa na pointi 5, CR Belouizdad (4), Medeama (4) na Yanga ina (2)
Yanga kutoka katika kundi D watakuwa ugenini kumenyana na Madeama ya nchini Ghana. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 1:00 jioni katika uwanja wa Baba Yara nchini Ghana.
Je, wawakilishi hawa wa Tanzania wataondoka na alama tatu?
Kikosi cha Yanga kinachoanza
Kikosi cha Madeama kinachoanza
- Mchezo umeanza
- Madeama wanapata penati 25'
- Goooal Madeama 1 - 0 Yanga
- Goooal Yanga wanasawazisha 1 - 1
Mpira umekwisha Madeama 1 - 1 Yanga
---
Magoli ya Jonathan Sowah wa Medeama na Pacome Zouzoua wa Yanga yameziwezesha timu hizo kutoka sare katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Kundi D uliopigwa kwenye Uwanja wa Kumasi Nchini Ghana
Mchezo mwingine wa Kundi hilo AlAhly ya Misri imepata matokeo ya 0-0 dhidi ya CRBelouizdad ya Algeria
Baada ya mechi hizo, Al Ahly inaongoza ikiwa na pointi 5, CR Belouizdad (4), Medeama (4) na Yanga ina (2)