Kama unatumia app log out then ingia kwa website ikishindikana na hapo wacheki kwa email huwa wanarespond haraka sanaNaitaji msaada jaman namba ambayo ntwapata meridian kwa haraka hela nimekula nina shida nayo aitoki afu nikiwapigia nakutana na maelezo afu simu badae inakatwa
Jana mrusi tulimkosakosa tena... Leo sio jana tunatiririka nae kama sheria...
Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
Agiza rafiki yako aende shop yoyote ya Meridian akutolee huko via shop.Naitaji msaada jaman namba ambayo ntwapata meridian kwa haraka hela nimekula nina shida nayo aitoki afu nikiwapigia nakutana na maelezo afu simu badae inakatwa
Night sikucheki nilikua busy kidogo nimeiona asubuhi...Hukuwa online night?? Niliweka code (single game). Ilitoa vizuri
Night sikucheki nilikua busy kidogo nimeiona asubuhi...
Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
Baada ya mbili kuwin nikaomba mshiko moja nikaachana nayo mapemaUmepigwa za uso hapo
Baada ya mbili kuwin nikaomba mshiko moja nikaachana nayo mapemaUmepigwa za uso hapo
Mkuu tuongeze code sportybet bigboi8FD9524 BETPAWA
BFB7DDF betpawa weka mzigoWazee wenzangu za masiku mengi. Nipo napa napitia mikeka nijiripue
Parimatch kuwitjlhdraw ni shughuli mzee, mchakato mrefu mno hasa ukila mkwanja wa kueleweka.katika makampuni dizaini ya sportybet, sportpesa, bepawa, premierbet, galsport n.k, kampuni inayoongoza kuwa na options nyingi ni parimatch. parimatch inakaribiana na kina helabet na 1xbet kwa options.
tatizo la parimatch nimeshaingiwa na wasiswasi nao, mara kadhaa nimeona watu wakisema kuwithdraw mpaka uwe ulifanya full registration ikiwemo kuweka vitambulisho vyako, leseni n.k.
nikaja kuuuliza lakini kuna mkuu akanitoa wasiwasi kwamba unawithdraw kuanzia buku bila hata vitambulisho, leseni n.k.
pamoja na kutolewa wasiwasi lakini bado nina wasiwasi tu na parimatch.
mnaofanikiwa kuwithdraw parimatch mmefanya full registration ikiwemo vitambulisho na leseni?
Parimatch kuwitjlhdraw ni shughuli mzee, mchakato mrefu mno hasa ukila mkwanja wa kueleweka.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app