rohoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. King Jody

    Tenzi za rohoni

    Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI. Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs) 1.Mungu ni Pendo 2.Usinipite Mwokozi 3.Salama Rohoni 4.Yesu unipendaye 5.Mwamba wenye imara 6.Nataka nimjue Yesu 7.Bwana u sehemu yangu 8.Ni...
  2. Kiboko ya Jiwe

    Watumishi wa Mungu wamekuwa wakame rohoni sasa makanisani wanafundisha falsafa za kidunia, Falsafa ambazo unaweza kuzipata popote

    Injili ya kale ya akina Petro ilikuwa rhema. Rhema ni neno la Mungu kwa wakati husika. Yaani Mungu anasema kwa kinywa cha mtu. Anaweza kutumia neno hili la kila siku (logos) ila anaposema Mungu mwenyewe hulitia uzima na kutimiza kusudi lake kwa haraka kama umeme. Ndio maana ukisoma kitabu cha...
  3. R

    Rais Samia anafanya vizuri ila kuna mambo anatakiwa kurekebisha

    Naomba nizungumzie Mama wa Taifa, Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania kama nionavyo mimi; 1. Tabia binafsi Mama Samia Suluhu Hassan ameumbwa na hofu ya Mungu, ameumbwa na utashi wakuona baya kwake laweza kuwa baya kwa wengine hivyo hana sababu ya kuhukumu. Ameumbwa na moyo wa...
  4. National Anthem

    Uliza chochote kinacho mambo ya ( rohoni ) hasa upande wa giza ( Ufalme wa giza )

    Mzuka! N:B.. Kama upo msomi, wa kishua sana, uzungu mwingi na huamini mambo ya rohoni hatuna haja ya kusumbuana sana mazee.. piga kimya kimya.. pia mie sio muandishi mzuli.. Maeneo ambayo naweza yajibia vizuri kwa ufasaha... kutokana na uzoefu wangu wa zaidi ya miaka mitano.. Ulimwengu wa...
  5. Liverpool VPN

    Mimi mkataa ndoa naangamia rohoni: Nishaurini ili nipone

    ... Moderator, Please Delete .... Moderator
  6. Artifact Collector

    Jifunze kuwa invisible, kuwasha nuru yako ya rohoni na kutumia nguvu ya ardhi na anga ili ufanikiwe

    Uandishi sio mzuri sana UTANGULIZI Kwanin watu ambao ni devoted kwa Mungu inawawia ngumu sana kufanikiwa mfano kwanin waimbaji wengi wa kwaya au injili hawafanikiwi kama wasanii wanaoimba nyimbo za Dunia, kwanin ni ngumu sana kukuta tajiri na ameokoka hata kama unamafanikio kitendo Cha kusema...
  7. Balqior

    Mtu akiniuliza kama nimeajiriwa naumia sana rohoni. Kuna mwingine ameshawahi experience hiki?

    Sababu baada ya kumaliza chuo nimekosa ajira baada ya ku-apply sana Kazi sijaambulia kupata, sanasana naishiaga kwenye interview. Nimekaa mtaani mda mrefu, hivyo najishughulisha na temporary informal jobs ndogo ndogo. Mtaani baadhi ya watu wanajua mimi ni mwanachuo, sasa sometimes utakuta mtu...
  8. Kiboko ya Jiwe

    Dunia iko kasi, zamani mnachati kwa meseji na mpenzi wako usiku kucha unasikia hisia mpaka rohoni

    Daaaahhh kuna vitu ukivikumbuka unaweza kulia. Dunia iko kasi sana. Enzi zetu mnachati na mpenzi wako kwa sms mpaka unahisi Mungu dunia aliiumba kwaajili yenu tu. Sasa hivi mkichati kidogo tu mnaombana vikojoleo, mkitumiana chatting inakata kwa siku hiyo mnasubiri siku nyingine. Mkichati siku...
  9. Chizi Maarifa

    Huwa Sipendi kuangalia mechi za Simba naibia naangalia Mpira ukiisha naanza Umia Rohoni

    Mimi sipendi kushabikia Simba sababu mimi ni Yanga kweli kweli. Ila ninaufahamu mpira wa miguu. Kuna wakati ushabiki naweka pembeni. Sisi Yanga tunashindwa wapi kucheza mpira wanaocheza Simba? Mazoezini Kocha wetu anafundisha nini? Sioni anachofundisha au maybe michezaji yetu ishakuwa migume...
  10. LIKUD

    Watanzania mlimchagua Magufuli katika Ulimwengu wa Rohoni toka enzi za JK

    Chaguo la watanzania katika ulimwengu wa roho ni Rais Dokta.Joh Pombe Magufuli. Katika ulimwengu wa rohoni watanzania mlimchagua Magufuli toka Jk akiwa madarakani.. How? Majibu haya hapa. Hivi ndivyo ulimwengu wa rohoni unavyo fanya Kazi. Nitaelezea Kwa mifano moja Kwa moja. 1. MAMA WA...
  11. M

    Uchaguzi wa Tanzania kwa Jicho la Rohoni ni Uchaguzi wa Msimu dhidi ya Msimu

    Awali ya yote naomba kuweka interest zangu mbele, Mimi ni muumini wa mambo ya Kiroho. Ninaamini juu ya uwepo wa ulimwengu wa Kiroho. Nina amini kuwa, kabla ya mambo kuwa vile yanavyoonekana kuwa katika ulimwengu wa Kimwili, mchakato wake huwa unakuwa ulianzia Rohoni na baadaye kujidhihirisha...
  12. Hashpower7113

    Love story: Tears of the soul (machozi ya rohoni)

    TEARS OF THE SOUL (MACHOZI YA ROHONI)- 1 Mtunzi: Aziz Hashim (Hash Power) NB: UNAWEZA KUIPATA SIMULIZI HII TAMU KUANZIA MWANZO MPAKA MWISHO KWA MFUMO WA e-Book (PDF) UTAKAYOISOMA KWENYE SIMU YAKO KWA SH. 5000/= TU NICHEKI WHATSAPP 0719401968! “Mke wangu!” “Abee mume wangu!” “Jiandae leo...
Back
Top Bottom