blackice2100
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,044
- 2,719
Huwa kunakuwa na masharti yeyote au hata mechi ikiwa live unaweza tumiaukishaset mkeka wako fanya kama unataka kuulipia, itakuja ikiwa katika bet. Achana nayo, pembeni ya meno bet kuna neno limeandikwa promo bofya hapo lipia mkeka wako.