Kuna shida mahali nimedeposit mara mbili wanasema nitume emailNa wewe yamekukuta nini! Bora uliwe na timu maana tushazoe kuliko na merchant, ni uhuni tu.
Mkuu sio lazima zifuatane ingekuwa ni hivyo mbona ingekuwa ngumu kuliko ata kufanya analysisHuo ndio ubaya wa jackpot za baadhi ya company , mm kiukwel upande wa jackpot napenda ya sportpesa kwasb hawana hizo taratb za mpangilio , kma umefikisha idadi ya bonus unapewa hata kma hazijashinda Kwa mfuatano mm nlishawah pewa bonus sportpesa na mech Wala hazikufuatana.
Usivae utachelewa njoo tu ivoivo 😍hahah asante wacha nivae haraka nikuje, but tusiwe pekee, awepo na shem, si pale pale? haya im coming..
Hapana ni kwel betpowee ni lazma ushindi wa match zako ufuatano nishawah kusikia hii kitu sio Kwa huyu tu, yaan match ya kwanza ikitiki , inayofuata ikikosa bac ushachana inabidi kma kuchana ichane ya mwisho na sio katikatiMkuu sio lazima zifuatane ingekuwa ni hivyo mbona ingekuwa ngumu kuliko ata kufanya analysis
Da; huko dolo ni pagumu bora kukimbia asee,Hapana ni kwel betpowee ni lazma ushindi wa match zako ufuatano nishawah kusikia hii kitu sio Kwa huyu tu, yaan match ya kwanza ikitiki , inayofuata ikikosa bac ushachana inabidi kma kuchana ichane ya mwisho na sio katikati
Serious mm BP nishatemana nao naona wazinguaji tu na vile Kuna muda walidelay kuingizia watu pesa zao za ushindi nkatemana nao yaan mm kuhs jackport na deal na sportpesa kwanza match zao ni kama zinatabirika fulan hv lakin pia pesa ya sportpesa ni ndefu kwenye jackpot jackport ndogo ni kuanzia Milion 450 huko.Da; huko dolo ni pagumu bora kukimbia asee,
wanaukoo wananisifia
Daah watu na bahati zaoNaona taarifa ya habari ITV hapa, kuna mtu kashinda premier bet milioni 92 kwa dau la mia mbili.
Wamemuonesha kwenye taarifa ya habari ya leo jumatatu, ya ITV.
Kampuni gani hii
sportybet kama unavyoionaKampuni gani hii
Edit odds zaidi ya 10000 hiyo.... huu nilio edit uwe ndiyo mkeka mama wa kuzalisha mingine kama 10 hivi...sportybetJITUBANDIA's Daily Tips
Choose your favourite's
C88A64
Sporty....
WaongoooHapana ni kwel betpowee ni lazma ushindi wa match zako ufuatano nishawah kusikia hii kitu sio Kwa huyu tu, yaan match ya kwanza ikitiki , inayofuata ikikosa bac ushachana inabidi kma kuchana ichane ya mwisho na sio katikati
Inatakiwa utupongeze.Sema wakuu nyie ni wabaya sana, yaani mimi miaka nakomaa na meridianbet, li app la kizee na hamniiti kuja sportybet, kweli..!?