MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,658
- 6,432
Nalalamika ila siachi kukicheza maana nikiwa na shida na pesa ndogo lazima niende kukirusha
Nalalamika ila siachi kukicheza maana nikiwa na shida na pesa ndogo lazima niende kukirusha
Correction niliweka shilling mia Moja tu ya ki Tanzania (Tshs. 100) each...simu iliongeza hiyo K hapo kwa bahati mbaya samahani kiongozi kwa kukukwaza...najua umekuumiza sana samahani sana kiongozi 🙏Dogo sijui anatuchukuliaje eti ameweka 100k kila mkeka
Mambo ya kiwaki sana hayo! Kuchoreshana!.... Kuna mitaa ukijulikana una fedha tu, tayari ni risk!....Naona taarifa ya habari ITV hapa, kuna mtu kashinda premier bet milioni 92 kwa dau la mia mbili.
Wamemuonesha kwenye taarifa ya habari ya leo jumatatu, ya ITV.
Naona yanasubiriwa mahanjam!... Ya Porto na shogaake! Sporting!.... Taona moto!!!Hivi kumbe ITV bado ipo
Mbuzi hao walikaza vnzur mwsho wanapigwa kindesiJamani game ya alhaly inaonyeshwa channel gan
Msaada wadau,,,, akumbuka kuna mwamba kama aliwahi itumiaWadau msaada kwa aliyewahi kutumia hii bonus ya 1Xbet kama pesa
ukishaset mkeka wako fanya kama unataka kuulipia, itakuja ikiwa katika bet. Achana nayo, pembeni ya meno bet kuna neno limeandikwa promo bofya hapo lipia mkeka wako.Wadau msaada kwa aliyewahi kutumia hii bonus ya 1Xbet kama pesa
Huwa kunakuwa na masharti yeyote au hata mechi ikiwa live unaweza tumiaukishaset mkeka wako fanya kama unataka kuulipia, itakuja ikiwa katika bet. Achana nayo, pembeni ya meno bet kuna neno limeandikwa promo bofya hapo lipia mkeka wako.
mechi 3+Huwa kunakuwa na masharti yeyote au hata mechi ikiwa live unaweza tumia
Oyaa upo block 4 na lecture pascal mtaalam wa probability yupo? Msalimie na Prof msele angalia usije pata carry hapo cive sio poa.Eehh Jana Man utd tukaruka nae kama hivyo na ubovu wake tena akiwa nyumbani kwa livakuku sikuogopa odds ila maswali yalikuwa leo ili watu waliwe ni man utd ashinde ushind mwembamba wa moja bila au watoke sare ya bila bila...kwanini nilikuja na haya matokeo baada ya kuona 2+ ina odds 1.09 na 3+ ina 1.4 huko na odds ya GG ilikuwa 1.6 ingawaje ilikuwa vary nini maana yake nini walituaminisha kwamba hii game ina magoli sana ili tujae kwaenye mfumo....nikaamua kula 2x ya man utd.
Ukiangalia hapo chini mkeka mwingine wa basketbal NBA huyo Hauston roket kushinda foul alikuwa na odds 1.58 wakati mwenzie ana odds ya 2.8 dabo chance ikawa 2.5 kwa 1.32 lakini kumbuka Bucks kwenye NBA ni Jeshi(wapo imara)nikacheka hahaha nikasema kanjii huu mtego siingii.
Wenye akili timamu na wenye akili za kureason ndio watakao nielewa.
So wadau you need to take time uzisome odds ingia kila option chungulia....utapata kitu.
Location Udom ndaki ya CIVE.....ngoja nisogeze slide kesho test.View attachment 2846405View attachment 2846407
Nakataa.Mikeka y humu Fake sn