Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Daa huyu wolfsburg women anampigaga mwenzie goli 5 mpaka 8 leo kwakua nimeweka hela yangu ya kodi matako huyu ameshindwa kutoa goli mbili! Nimeumia sana maafisa nipeni pole! Soon ntaanza kulala nje 😔 bora ningempa girona jeshi langu
Screenshot_20231218-234216~2.png
 
Nimepokea kaposho pahala nikasema nideposit 1xbet.
Pesa imekatwa MPESA, status ya 1xbet inaonesha nimedeposit lakini salio halijaongezeka.

Nawasiliana na 1xbet wanasema niwatumie email, naona usenge.
Baada ya muda msg ya 1xbet inaonesha muamala umekuwa cancelled na operator, but huku MPESA patupu. Najaribu kuwasiliana na MPESA wanasema muamala ulikamilika kami (wananipa na ref no)

ANGALIZO
Mnaotumia 1xbet, kitendo tu cha kudeposit ni kamari tosha. Kwa hiyo ikifanikiwa kufika kwenye akaunti ina maana umewin jaribio la kwanza, bado la pili.

Huyu mtu kati DUKA DIRECT ana shida, hata simu kupokea ni shida.
 
mechi 3+

odd 1.4+ kwa kila chaguo

potential wining iwe mara tano ya stake. kiufupi odds 5+

Sema bonus yenyewe ya kingese sana coz inahitaji ucheze round kadhaa nishasahau idadi. Nishawahi shinda round 1., still ikanihitaji kuendelea cheza ili mkwnja uhamie kwa main account. Sina hamu nayo
Check ur WhatsApp hommie
 
Nimepokea kaposho pahala nikasema nideposit 1xbet.
Pesa imekatwa MPESA, status ya 1xbet inaonesha nimedeposit lakini salio halijaongezeka.

Nawasiliana na 1xbet wanasema niwatumie email, naona usenge.
Baada ya muda msg ya 1xbet inaonesha muamala umekuwa cancelled na operator, but huku MPESA patupu. Najaribu kuwasiliana na MPESA wanasema muamala ulikamilika kami (wananipa na ref no)

ANGALIZO
Mnaotumia 1xbet, kitendo tu cha kudeposit ni kamari tosha. Kwa hiyo ikifanikiwa kufika kwenye akaunti ina maana umewin jaribio la kwanza, bado la pili.

Huyu mtu kati DUKA DIRECT ana shida, hata simu kupokea ni shida.
Tuma email ulivyo elekezwa
 
Back
Top Bottom