Inakuwaje wanaJamiiForums

Kuoa mwanamke asie na bikra ni kama vile mkeka wako kumuamini Man u aue ili ukatoe milioni zako

wanaJamiiForums toeni ushuhuda wenu, vp mkeka wako ulitiki au mapema tu Man u aliuchanilia mbali huko

Rumors ni nying kwelikweli mara bikra ndo uhakika, mara ooh oa rafiki yako
Basi tafalani

Je kwa wew uliecheza kamari ya kuoa asie na bikra vp ulitoboa? toa experience yako

Nb/Hii ni nyuzi ya wanaume tuliokubal changamoto za maisha, Wale tuliowakosa (kwa masikitiko) kataa ndoa wote piteni kuleView attachment 2786241
Leta code nikakifunge dls tu wachana na ndoa adriz Mufti kuku The Infinity
 
Ukibahatika bikra ina raha yake sana kwenye ndoa binafsi mke wangu nilimpata akiwa nayo mwaka wa saba nane (2015)kwenye ndoa watoto watatu kiukweli hawa watu neno kuchepuka halipo pia wanapenda sana sababu kuonjwa ni kwa mmoja tu
Kwa dunia ya sasa mwanaume ni ngumu kusimama mke wangu hatoki nje ya ndoa lakini
Ukimpata na bikra imani unayo mwaka wa nane huu nina kauzoefu tayari na nimepita vichaka baadhi wale wazoefu nilichokikuta huko duuuh


Bikra ni muhimu ila ukiikosa basi mke awe na mungu karibu kupunguza tamaa
 
Back
Top Bottom