Jr. Gong Mira
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 1,279
- 1,295
Habari Wakuu!
Mwanamke mwenye Bikra kuolewa ni lazima na ni haki yake lakini hawa wakina Amber Rutty kwa kweli kuolewa wacha waiite Bahati. Huwezi msikia mwanamke Bikra akiongea kauli ya kijinga kama hiyo. Kauli hiyo hutolewa na wanawake waliochojolewa na wale dizaini ya kina Wema.
Mwanamke Bikra anayohaki ya msingi ya kuchagua mwanaume amtakaye. Hakika inapendeza kusika mwanamke bikra akisema nataka mwanaume mwenye pesa, HB, na mcha Mungu. Hata sisi wanaume tutakuambia kwa kweli una haki ya kuchagua hivyo. Lakini nyie akina Amber Rutty ambao mgodi ulimalizwa madini yote kwa kweli mnashangazaga sana. Hata hivyo Mungu ni mwema kwani aliumba pia na wanaume wajinga na wenye kujidharau ndio maana mnaolewa. Lakini kwa wanaume wanaojielewa, wanaojua thamani ya mke hawawezi hata thubutu kuchukua binti asiye bikra.
Binafsi nipo tayari kutoa mahari yoyote kwa mke wang mtarajiwa endapo tuu atakuwa ni bikra. Bikra ni Nyota njema. Embu fikiria Yesu angezaliwa na mwanamke asiye na bikra nini kingekuja kwa wanaume wanaojua kufikiria na kujua thamani ya utume.
Mwanamke mwenye bikra hawezi kuwa na wasi wasi hata afikishe miaka 40. Lakini asiye na bikra miaka 25 tuu jasho linamtoka. Kuolewa ni bahati kwa wanawake wasio na Bikra lakini ni lazima kwa wanawake wenye bikra.
Sasa Hivi atoke mwanamke hapa mwenye umri wa miaka 35 aseme yeye ni bikra na anataka kuolewa, nakwambia hawezi chukua wiki moja wanaume watapanga foleni kujaribu bahati zao. Lakini atoke asiye na bikra miaka 24 awe mzuri kama malaika aseme anataka kuolewa uone kama hata chukua miaka kama miwili mpaka saba kupata wa kumuoa.
Sijui kwa nini watu hawaelewi mambo madogo kama haya.
Povu linaruhusiwa. Hasa kwa wanawake wenye mrengo wa Amber Rutty
Kama mm mkuu, huwa sipendi usumbufu,mpaka wa kutumia mate ya nini. Hiyo bikra ukishamwoa inaendelea kuwepo tu auWapo wanaopenda used
Mi used ndio ugonjwa wanguKama mm mkuu, huwa sipendi usumbufu,mpaka wa kutumia mate ya nini. Hiyo bikra ukishamwoa inaendelea kuwepo tu au
Hili nalithibitisha million timesKWA KWELI UMEONGEA POINT YA MAANA MNOOO...
VILE VILE MWANAUME ALIYEOA BIKRA HANAGA PRESHA NA MKEWE... KWANZA ANAKUWA NA IMANI AUTOMATICALLY ANAJIAMINI TU...
Acha kupotosha watu! Hivi wewe huoni mwanamke anaetoka nje ya ndoa anaitwa Malaya lakini mwanamme haitwi..ni ujinga kwa mwanaume kutaka kuoa.mwanamke bikra haliyakuwa ww si bikra na bikra yako imetoka kwa kutoa bikra za mabint WA watu...
In this life u get what you deserve, stay cool..
Hajijui huyu chalii. Mwanamme hahusiani chochote na bikraVijana wa siku hizi kweli wanashangaza sana. Nani alikufundisha kuwa mwanaume ni bikra. Mlaumu aliyekulea
Haimaniishi wote wafanye hivi ila this woman went an extra mile duh...View attachment 955440View attachment 955441
Sahihi kabisa mimi nimeshakutana nao wengi tu wanataka kujua ladha nyingine ikoje waone tofauti iko wap binafs sihitaji bikra atanisumbua mpaka aje kutulia
FactMtu mwenye hela zake kama majizo, HB na anaheshimika katika jamii anajiandaa kumuoa lulu ambae Tz nzima inamjua kwa namna alivokuwa siku za nyuma. Mwanaume hajamjudge, amemkubali alivyo, zaidi sana anambadilisha awe mke mwema kwake.
Tabu ipo kwa makapuku, mia mbili mfukoni hawana, uHB hawana, usafi "F", hawafahamiki popote, maisha yao kuunga unga tu, ila kutwa kuongea nonsense juu ya wanawake as if they are all that! Mtu hana chochote zaidi ya pu*** na simu ya tekno lakini anataka mwanamke mzuri, bikra, anakazi, etc Ulofa tu Povu ruksa.........
Kukosa bikra tayari ni tabia chaffTabia ipi mkuu unayoizungumzia. Kuendana kitabia na mwanamke ni kuwa mwaminifu hayo mengine ni ziada