Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,228
Mimi
Eti ww
Mimi
Kipi kikuchekeshachoEti ww
1-wanaoonyesha maximum care kwa used ni wajinga/malimbukeni or hajapata bikraUnatuzungumziaje tunaooneshwa care na mapenzi yote ikiwa hatujakutwa bikra? Huoni kama mtazamo wa maisha unatofautiana? Kuna wanaong'ang'aniwa na hawajakutwa bikra hilo pia mnalisemeaje? Au ndo mnaita aina hiyo ya wanaume kuwa ni "Wajinga". Mimi ni mwanamke naongea kwa experience nyinyi ni wanaume mnawasemea wanaume wengine ambao si wote wapo humu ama si wote wamechangia mjadala huu,
Najaribu kufikiria tatizo hapa ninini, fikra zangu zinaniambia Shida ya vijana wadogo (ambao wengi wanaendesha mjadala huu ) ni hii, mioyo imekufa ganzi, hamna hisia za kupenda, kwanza mna hustle na mengi, hamuamini kama mnaweza kupendwa hivyo hivyo mlivyo pasina kujiweka accessories zikamilishe kujiamini kwenu. Mnaogopa sana kulinganishwa, ndio maana mnawasaka mabikra kwakuwa hawana chakulinganisha, kikawaida mtu asiyejiamini ukimlinganisha na mwingine unamuondolea kujiamini kwake, kwasababu kujiamini kwake kuna mashaka makubwa, Kingine wasichana wa umri wenu hawawataki ndio kabisa kunawavua kujiamini. Ndio yanaibuka ya ohh used mara makombo n.k
Mi nina ushauri mdogo tu kama dada yenu tafuteni maisha, mpate pesa, mkue kidogo maana ni wazi with age comes wisdom. Itafika muda katika maisha unajiweza basi automatically moyo unafunguka unampenda mtu bila vigezo vingi, sio kwamba sasa hampendi hasha! mnapenda sana ila mna mashaka yakupendwa back. Ok ama sivyo chukueni wasichana wadogo sana 18-21. Mnaanza kuwakuza taratibu ikiwa nanyi mnakua, mnaongeza age, kipato, wisdom etc itafika time mnapatana sana. Ila ndo mkiwachukua wakiwa wadogo hakikisheni mnawaoa baadae Hizi ni fikra zangu binafsi sio lazima ziwe kweli, zinaweza kuwa uongo pia.
Kipi kikuchekeshacho
Nimekuelewa sana na mimi nimejibu as per swaliNimesema miaka 20 sio 15
Sasa naoa mimi au anaoa mtuSasa upate mwanamke mwenye sifa zote...uzuri mpaka tabiaa afu usimuoee kisa ulikuwa na mpango wa Kuoa bikraa...!?? Kuwa serious mkuu mambo ya Ubikra ni zamani siku hizi hata ukimshirikisha MTU kumwambia hiyi sababu atakuona falaa...!
Hongera mama bado ipo twende pm tujuane zaidMimi
Unajua saiv nina miaka mingapi?Hongera mama bado ipo twende pm tujuane zaid
Kwa kifup ili nioeSasa upate mwanamke mwenye sifa zote...uzuri mpaka tabiaa afu usimuoee kisa ulikuwa na mpango wa Kuoa bikraa...!?? Kuwa serious mkuu mambo ya Ubikra ni zamani siku hizi hata ukimshirikisha MTU kumwambia hiyi sababu atakuona falaa...!
Nimekuelewa sana na mimi nimejibu as per swali
Wewe kumbuka vizuriHapo labda kama umejipngezea miaka miwili
Boring!...or it sucksmmnh wewe nae na mada za bkira.??? .....boring!
1-wanaoonyesha maximum care kwa used ni wajinga/malimbukeni or hajapata bikra
2-tunaofunguka hapa ikiwemo Mimi si wadogo Wa kiumri na kipato (japo sio wote) kama unavyojaribu ku portray,
Na FYI , core desires z a wanaume hazibadiliki kwa age wala rank ya maisha ,hence ukweli utabaki ukweli kwa kibabu hata cha miaka 80+ ni furaha kuwa na bikra kubali au kataaa ,na ndo maana hata leo mzazi ajiua bint yake ni bikra anajisikia ufahari
Hayo yote unayasema ya kupenda makombo ni vile,hakuna bikra basi mengine ni kujifariji tu,
Boring!...or it sucks
Mkuu usingetoa maoni ningesema Hii mada ni bure lakini kwa vile umetoa maoni basi mada imefungwa. Pole sana
Kulambwa na mapaka shume