Tatizo lako unaongea ongea tu as if huujui uhalisia.

Mkuu fanya kazi upate hela ndio utajifunza kumcha Mungu.

Tatizo wanawake wengi ni wavivu, hawana kazi za uhakika na ndio maana ni masikini, hii inapelekea kujikuta wanavumilia mpaka upuuzi.

Shetani hasamehewi, hilo kaa ukilijua.

Uhalisia ninaujua na ndio maana nikasema shida ni umasikini na utegemezi wa wanawake,
 
Sionagi tabu kuharibu kilichoharibiwa, hiyo ni kawaida kwangu
Kulaani kilicholaaniwa wala sionagi shida.
Kulaani kilicholaaniwa si sawa na kuharibu kilichoharibiwa, sababu kulaani kilicholaaniwa ni jambo bora na linamarejeo na akili inakubali hilo, ila kuharibu kilichoharibiwa ni uharibifu na ni matumizi mabaya ya akili.

Mke wangu wa nne nimepanga kuoa asiye bikra, nasema tena nitaoa ambaye si bikra.
 
Utatumia lugha zote lakini ukweli umeupata na kama hukuolewa na bikra basi ndivyo hivyo ulivyo
Kwanini niolewe na bikra nazitoa zote bikra za mbele na nyuma, machoni mpaka midomoni. Malimbukeni ndio huhangaishwa na pet issue na kutaka kupangia wengine maisha. Some obsession ni magonjwa ya akili
 
Naona ni kama una obsession na hizo bikra, well si umeshaoa aliyekuwa bikra! Wacha wanaoning'inia na wasiokiwa bikra waendelee nao.

*Unaweza kuoa bikra akawa mchafu wa mwili na mdomo.
*Unapata bikra then uzeeni akakubadilikia hadi ukashangaa, nk.

Hii obsession uliyonayo sio poa hata, wengine ule usumbufu wa kukuru kakara za kitandani hadi uitoe hiyo bikra wala hatuzitaki.
 
Dah kiukweli wee jamaa unaongea point tupu. Yaan mpaka unaanza kunishawishi kumuoa bikra wangu nlie mzalisha na nipo nae kwenye mahusiano na anataka leo kesho nimuoe sema mimi ninadanganyika na hawa watoto warembo wamejazia lakin sio mabikra. Kitu ambacho kina nichelewesha kumuoa nilo mtoa bikra ili nioe hiz pisi kali lakin kama inavyojukikana wengi sio bikra.
 

Sumu haionjwi vijana lazima tuwaambie ukweli.

Wewe kama utaona najisifu ni sawa, sio kosa mtu kujisifia wema, kuliko kujisifia ubaya


Anything can happen kwa watu wanaopenda na kufanya anything kama huko kuoa maharage ya mbeya
 
Sio lazima unielewe sasa, mwanafunzi mjinga huelewa somo pale anapotoka ndani ya chumba cha mtihani akiwa kashafeli

Sio lazima unielewe sasa, mwanafunzi mjinga huelewa somo pale anapotoka ndani ya chumba cha mtihani akiwa kashafeli
Lega Lega katika kumtimizia mkeo mahitaji yake muhimu ya ndani alafu usimlizishe on bed

Hapo ndy utakapo kuja kujua kumbe hata Inzi ni mdudu ambaye #akiacha ujinga uweza kutengeneza asali
 
Harakati zinaendelea 🤣🤣🤣
 
"Vitoto vyenyewe vinapenda na hata vikipewa mimba vinamficha mhalifu kwa nini usielewa hoja yangu kwa mantiki hiyo?"

Hapo ndipo msingi wa hoja yangu ulipo, kwamba hayo mambo hutokea whether;
1-Wanaume vs wanawake wote walikuwa WATOTO kwa wakati huo.
2-Mwanaume alikuwa mtu mzima ila msichana alikuwa MTOTO.
NB: hapa inategemea wewe binafsi mtoto unamchukuliaje katika nyanja mbali², kama vile; uelewa na ung'amuzi wa mambo, uwezo wa kufanya maamuzi n.k
 
mkuu Kama aliekubikir ametangulia mbele ya haki hii haimanishi kua wewe ni mjane labda Kama mlioana hapo sawa.

Mleta mada anachotaka ni bikra na sio sababu za wewe kutokua nayo..

Pole kwa kumpoteza aliekutoa bikra yako mkuu!
Hatari sana. Mtoa mada anafanya watu wasio na bikra wajitetee sana
 


Mkuu na ndio maana mimi lawama zangu nawalaumu wazazi, mzazi ndiye humuharibu mtoto
 
Hebu tuachane na mkeo ....jisifie na Wewe jinsi ulivyo mume Bora kwa huyo mkeo..

Maadamu unajifu tiririka..sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…