Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,970
- 3,325
Yan mngejua ukimwi unasambazwa na watoto wadogo na wake za watu!
Mnaoita single mothers wanakuwa wamevuka hatua ya kukosa umakini ili uzao wao usitaabike mbelen.
Nikisoma comments nyingi naona kama kuna hoja zinaletwa na vitoto vya primary. Wana ugomvi wa ndan ya nafsi.
Single mother hata kudanga ni kwa sabab na maslahi au malengo yanayoelezeka. Lakin kizaz cha wasio na majukum ni kama wamesusia sehem zao za siri au wamemeza vidonge vya NDIYO. Wanangonoka kama mateja wa ngono.
...Kama unataka kuwa salama achana na ngono za visichana au vivulana. Ukiondoa ngono hawana faida nyingine. Hali imegeuka, 'nguruwe mchanga ana magonjwa, hadi ya kuzaliwa nayo'
LOVE RESPONSIBLY!
Mnaoita single mothers wanakuwa wamevuka hatua ya kukosa umakini ili uzao wao usitaabike mbelen.
Nikisoma comments nyingi naona kama kuna hoja zinaletwa na vitoto vya primary. Wana ugomvi wa ndan ya nafsi.
Single mother hata kudanga ni kwa sabab na maslahi au malengo yanayoelezeka. Lakin kizaz cha wasio na majukum ni kama wamesusia sehem zao za siri au wamemeza vidonge vya NDIYO. Wanangonoka kama mateja wa ngono.
...Kama unataka kuwa salama achana na ngono za visichana au vivulana. Ukiondoa ngono hawana faida nyingine. Hali imegeuka, 'nguruwe mchanga ana magonjwa, hadi ya kuzaliwa nayo'
LOVE RESPONSIBLY!