Yan mngejua ukimwi unasambazwa na watoto wadogo na wake za watu!
Mnaoita single mothers wanakuwa wamevuka hatua ya kukosa umakini ili uzao wao usitaabike mbelen.
Nikisoma comments nyingi naona kama kuna hoja zinaletwa na vitoto vya primary. Wana ugomvi wa ndan ya nafsi.
Single mother hata kudanga ni kwa sabab na maslahi au malengo yanayoelezeka. Lakin kizaz cha wasio na majukum ni kama wamesusia sehem zao za siri au wamemeza vidonge vya NDIYO. Wanangonoka kama mateja wa ngono.
...Kama unataka kuwa salama achana na ngono za visichana au vivulana. Ukiondoa ngono hawana faida nyingine. Hali imegeuka, 'nguruwe mchanga ana magonjwa, hadi ya kuzaliwa nayo'
LOVE RESPONSIBLY!
 
Ila safi tuu kwa maana mbususu sio kitu ya kumnyima mwanaume na wao wenyewe wanatii kiu yao ya ngono
Walioanza ngono juzi ndo wanagundua ngono rahisi ila kumbe ili kuwa rahisi kitambo kama zamani ilikuwa ngumu ukimwi usinge uwa maelfu ya watu mishoni mwa miaka ya tisini na mwanzo wa miaka ya 2000
 
Walioanza ngono juzi ndo wanagundua ngono rahisi ila kumbe ili kuwa rahisi kitambo kama zamani ilikuwa ngumu ukimwi usinge uwa maelfu ya watu mishoni mwa miaka ya tisini na mwanzo wa miaka ya 2000
Hili nalo neno👍
 
Siyo kweli, 95% ya wadada hubeba mimba kama njia ya kukufanya umuoe na hutumia watoto kama fimbo ya kukuchapia kwa vitisho vya kuomba matumizi , Wana matusi, kebehi, ujuaji na maneno mengi kupita kiasi, yaani kiufupi wanawake wa sasa wengi wao sioni haya kusema kua ni washenzi tu
Hakika kabisa ulicho sema, na kingine hivi binti unazaa na Mme wa MTU unatarajia nini ?. kuna case kadhaa za mabinti baadhi wamezalishwa na wafanyakazi wa idara flani ya serikali na kinachofanya yote haya ni kutaka mserereko . Maana wengine sababu ya urembo wanajidai wao ni waraja flani wanataka MTU aliye tusua maisha .
 
Sema tu Sina Hela za kutatua shida za Hawa viumbe. Ila umasikini wa familia unafanya watoto wa kike kufedheheshwa sana. Wanageuzwa onjwa onjwa Kila wakihitaji pesa.

Wengine sio masikini mkuu! Ni wao wenyewe hupenda kupitiliza na kuhisi akimzalia mwanaume ataishi nae.....

shida sio pesa maana hata wa familia za kishua wamezalishwa!!! Ni aina ya kizazi ambacho tupo nacho na wazazi kuwa waoga kuongea na watoto wao!!!!

Asilimia kubwa wamama huwa wanashirikiana na watoto kwenye hili jambo, kikisha umana ndo linakuwa pembe la ng’ombe na mshua inabidi tu uwambie.

Tatizo lipo kwa wazazi wana waacha watoto wanaishi wanavyotaka nakuzani ndo malezi bora.
 
Mie mtoto wangu wa kiume au wakike namwambia mapema kabisaaa kuwa bwana bwana hapa nijue kuwa unagegeda au kugegedwa kabla ya ndoa aisee, ninakuua kwa mikono yangu mwenyewe na hiyo jamhuri ikaninyonge tuu wala sina problem.
Ni mzazi mjinga ambaye anakumbatia mtoto mzinifu. Kwangu mie ndani ya nyumba ni taliban style tuu.

Mambo lakini besty, vipi wee ulishapata mume au nikuoe kaka yangu
Kwamba wewe uzini, afu mtoto asizini?
 
Pana kitu watu uchanganya wanaunganisha wote kwa factor moja yaan umalaya wa kushindwa kujitunza.
Zipo sababu nyingi za mtu kuwa single.
Wapo waliofiwa na wenza wakaamua kuishi maisha hayo.
Wanaosemwa ni wale wazaa hovyo Kila mtoto na baba yake
 
Shaloom,

Dada mmoja aliamini kuwa mtu pekee anayestahili kuitoa bikra yake ni mwanaume atakayemuoa. Huu msimamo wa bibie ulifanya apoteze wachumba wengi kwani walipoambiwa hawataonja asali mpaka waingie ndoani walisepa.

Miaka ikaenda, umri wa dada ukazidi kusogea ila bibie hakubadili msimamo wake. Aliendelea kuitunza bikra yake na kuishi maisha ya heshima kama ambvyo binti yeyote mwenye maadili anapaswa kuishi.

Walokole tuna kamsemo ketu kuwa, wakati wa Mungu ndio wakati sahihi na kweli "Wakati wa Mungu ulipofika" bibie akaposwa na kijana aishie huko Marekani. Kilichomvutia kijana kwa bibie ni habari alizozisikia kuwa bibie hajawahi kuguswa na mwanaume yeyote.

Kijana akatuma washenga, akatoa mahari na kufanya taratibu zote ikabakia ndoa tu ambayo ingefungwa baada ya yeye kwenda Marekani na kurudi tena Tanzania.

Basi ikawa rasmi kuwa bibie sasa ni mke mrarajiwa wa mtu aishie Marekani. Viongozi wa kanisa na wazazi wakawa wanamtumia bibie kama mfano wa kuwaasa watoto wa kike kuwa ukijitunza Mungu atakuletea mume bora. Mabinti wakaambiwa si mnaona mwenzenu kajitunza sasa anaolewa na kwenda kuishi Marekani?

Basi bwana siku za mume mtarajiwa kurudi marekani zikakaribia na akaomba aende Dar na mkewe mtarajiwa akamfanyie shopping pamoja na kumuachia mradi wa ujenzi wa jumba lao lililoko Dar ausimamie.

Kwa vile kijana alishafanya taratibu zote wazee wakaona haina shida wakamruhusu binti asafiri na mumewe mtarajiwa kutoka mkoani kwao mpaka Dar.

Kufika Dar wakashukia hotel na huko kijana baada ya kushindwa kumshawishi binti atoe uroda kabla ya ndoa akatumia njia ya kumlewesha na ndipo akafanikiwa kuitoa bikra ya binti kabla ya ndoa.

Dada alilia sana alipozinduka na kujua kikichotokea, ila kijana wa Marekani akafanikiwa kumtuliza dada kwa maneno matamu matamu na ahadi ya kumpenda mpaka kifo kiwatenganishe. Dada akafanyiwa shopping kisha jamaa akakwea pipa akarudi state na bibie akarudi mkoani kwao.

Baada ya week kadhaa dada akagundua ana ujauzito wa mumewe mtarajiwa. Wazee wakajua na kijana wa Marekani akajulishwa na kuombwa kufanya hima aje aoe mkewe na kuondoka nae kabla wambea hawajajua kuwa ile bikra iliyotunzwa kwa miaka mingi ishatolewa kabla ya ndoa.

Kijana wa Marekani akazipokea habari kwa furaha na kuwaahidi wazee kuja ASAP lakini mpaka muda wa mtoto kuzaliwa ukafika ila kijana wa Kimarekani hakutokea.

Baada ya miaka kadhaa ikaja kugundulika kuwa kijana wa Kimarekani alikua ni muhuni tu aliyekuwa na fantansy ya kuchakata bikra na eti hata wakati anatoa ile mahari alikua tayari keshaoa zake huko Marekani na wale washenga aliowatuma walikua ni wahuni wenzie tu wazee wa hovyo, maana wazazi wake wa kweli walipofuatwa walishangaa sababu wao wanajua kijana wao alishaoa siku nyingi tu.

Ikawa asubuhi ikawa jioni dada mrembo aliyeishi kwa maadili akajikuta akichukua kadi yake kwenye chama kubwa la single mothers nchini.

Chama ambacho wanaume wa Kitanzania huwaona wanachama wote wa chama hicho ni wanawake wasiofaa sio kuoa tu bali hata kwa mahusiano ya kudumu, bali kwa kuwagonga na kukimbia haraka uwezavyo kuokoa maisha yako.

Kabla sijajiunga JF nilikua nawaona single mother ni wanawake kama wanawake wengine. Wako wanaojitambua, wako empty sets. Wako wanaojiheshimu, wako micharuko. Wako wapole na wanyenyekevu wako vichomi pia. Inshort tabia zote za wanawake single mothers utazipata hata kwa wanawake wasio single mothers.

U single mother sio laana ambayo automatically inamfanya mwanamke awe na tabia za hovyo kama hakua hivyo mwanzo na wala kutokuwa single mother sio baraka/neema/kinga ya kumfanya mwanamke awe wa maadili/bora.

Mwanamke yeyote single mother or not, tabia zake zinatokana na malezi au mtazamo wake katika maisha.

Mimi sio single mother ila as long as mim ni mwanamke kama ilivyokuwa kwa bibie mtunza bikra, hata mimi iko siku naweza kuangukia kwa bazazi nikalielewa tukadanganyana danganyana pale at the end of the day bila kujua imekuwa kuwaje nikajikuta na mimi nachukua kadi kwenye chama kubwa la single mothers.

Ikitokea nimekua single mother sitapenda kuongelewa kwa namna single mother wanaongelewa hapa JF.

Hapa JF single mother wanaongelewa kama jamii ya watu wenye laana wanaopaswa kutengwa kama walivyotengwa wale wakoma wa kwenye biblia.

Hapa JF wanaume mnawaongelea single mothers kama viumbe wasio na akili wala maadili, lakini naomba niwaambie hawa single mothers ni nyie mmewatengeneza na tena ni kundi la wanawake wenye akili kubwa na ndio maana wanaweza kulea na kusomesha watoto wao ambao baadhi yenu mmewakataa na kuona ni bora hela yako ununulie msambwanda wa barmaid kuliko kununua daftari za mwanao.

Sio ajabu yule kijana wa Marekani nae yuko hapa JF akiandika nyuzi za kuwaongelea single mother kama walaaniwa kumbe yeye ndio mlaaniwa.

Naombeni wanaume wa JF mtoe hiyo lebel mliyowapachika single mothers, sio sawa duniani wala mbinguni sababu hamjui mwanamke amepitia mitihani gani mpaka kuishia kuwa single mother.

Naomba viongozi wa JamiiForums muliangalie hili. Kuna single mother anaweza kujiua akifikiria aliyopitia na kulinganisha namma jamii inavyomhukumu. Sio sawa jamii kusema watu wote wa kundi fulani wana tabia fulani kwani hiyo sio kweli na sio sawa.

Iweje mwanamke aliyeishi maisha yake yote kwa kujitunza na kujiheshimu halafu badae jamii imuone takataka kisa tu analea mtoto/watoto wake bila baba?

NB: Wanawake wa JF njooni tuwaeleweshe wanaume wetu kwa heshima na upendo kuwa kunyanyapaa single mothers sio sawa. Maana kama leo sio single mother kesho unaweza ukajikuta single mother au binti yako akawa single mother. Utapenda anyanyapaliwe?

Hata wewe mwanaume unayenyanyapaa single mothers leo huwezi jua iko siku wanaume wenzio watamdanganya aishie kuwa single mother. Utapenda jamii imnyanyapae?
Mimi ninawapenda na niko naye mmoja
 
Single mothers wengi wamejitakia kwa kudanganywa kihisia wanasema nyie wanawake mkiambiwa uongo ndio mnapenda ila wanaume wanaowaambia ukweli hampendi na hii nikutokana na kuendekeza zaidi hisia kuliko akili zenu ZAMANI mwanamke akizaa BILA kuolewa NI AIBU ILA SIKU IZI IMEKUWA FASHION SINGLE MOTHERS WENGI KULIKO WALIOOLEWA KWAIYO USILAUMU WANAUME UWASHAURI WANAWAKE WENZAKO WATUMIE AKILI ZAIDI KUINGIA KWENYE MAHUSIANO.KULIKO HISIA ETI WANAUME NDIO WANASABABISHA SINGLE MOTHERS WENGI WAKATI NYIE WENYEWE MNAJITAKIA KWA KUTANGULIZA HISIA KWANZA
 
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwawote mliotoa michangoyenu kwenye huu Uzi ila nitoe rai yakwamba kuoa nianasa
 
Back
Top Bottom