Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,387
- 3,575
we ni f.a.l.a mgese nn, Rais ana mwez mmoja kazini mnataka awe amefanya vingapi?
Mama apunguze mafumbo,watanzania tulio wengi ni Wanyonge hatuwezi kudhanganua mafumbo🤪🤪🤪
we ni f.a.l.a mgese nn, Rais ana mwez mmoja kazini mnataka awe amefanya vingapi?
Mama apunguze mafumbo,watanzania tulio wengi ni Wanyonge hatuwezi kudhanganua mafumbo🤪🤪🤪
Price tag mbele ya Mtutu wa Bunduki ni nini zaidi ya kusurender??. Sema mmechukia Mama alipotaja neno Demokrasia...Kuwa solved kwa hawa Covid 19 lini sasa,mtu wa mwisho ambae ni Rais kapiga kimya?
Alafu akuna mtu aliiba kura chif kila kituo kilikua na wakala,kama wakala alifika price tag basi hiyo ni udhaifu wa wakala,kila mgombea ama chama kinataka ushindi,pahala utakapo legea ndo hapo mpinzani wako atapitia.
"Talkers are not good doers at all!!"Mkuu nilijua ni mimi peke yangu niliyesikia yale yale ya kale! Utapopomwa hapa but ukweli ni kwamba talkers are not good doers at all! Time will tell Let us wait and see!
Weeh itakua unagogwa yanii mwezi tuu mmoja unataka kugongwa mtungoMama uwezo mdogo sana, maneno mengi mpaka sasa hatujaona lolote jipya.
Ataloweza labda ilo kurudisha siasa za upinzani.
Kutoka katika wafuInafufuka, aleluya aleluya
Siku 30 zimepita, ni nyingi kweli, alitakiwa awe kamalizia reli na bwawa la nyerere.Mama uwezo mdogo sana, maneno mengi mpaka sasa hatujaona lolote jipya.
Ataloweza labda ilo kurudisha siasa za upinzani.
Hata zikiwa hutuba 200 haina shida, tusirudi tu enzi za jiwe za kubinya uhuru wa watu.
Ila bora hata huyu alikuwa anahutubia, na pia hotuba yake ina matumaini walau kwa kiasi fulani.
Yule mtangulizi wake alikuwa ni kufoka foka tu mwanzo mwisho!! Na pia kutuchimba mikwara mbuzi, na kutoa maagizo yaliyojaa mihemko!
PumbuzUlibinywaje kaka?
Zuzu hilo achana naloKwani awalipi kodi wewe ni mshamba na ignorant kumbuka kuna indirect tax kwa every consumer
😂😂😂Kifaa cha mabeberu 😂Anasoma bwana, kuna kifaa cha mabeberu hapo mbele kinaitwa teleprompter
Toka katoa tamko la vifurushi mpaka Sasa hajatekeleza kaliacha ila anataka atuahid kua anataka afanye mengineYaani mama ndo kwanza ana mwezi na siku tatu mnataka awe kaigeuza Tz kuwa kama China.
Halafu jiwe miaka kumi mliona haimtoshi mkaanza upuuzi wa kuilawiti demokrasia ili atawale 'milele'
Tuachieni mama yetu anatosheleza, mnaomtaka jiwe njia ni nyeupe, kamba na sumu za kila aina zimejaa tele.
Au kosa ni Mh. Rais kutoa hotuba wakati wa mfungo!We jamaa umefunga Ramadhani? Kama umefunga kwa chuki hizo kwa ndugu zako wa kitanzania kunywa tu maji hakuna ulichofunga
Angeshungulika na swala moja baada ya lingine subir akipata hotuba ingine uone mapya yatayo Semwa umo Maswala ya Bandar na mishahara atakua kyamaliza tayar atakuja na Ahad mpyaAu kosa ni Mh. Rais kutoa hotuba wakati wa mfungo!
Anajua kabisa Kuna watu wanaiba alafu wizi wao unakua sehem ya maongez badala ya maamuz yani fulan kaiba kuku wangu Kala supu Leo alafu unampotezea what next?Halafu kasema toka Magu afariki kuna watu wameanza kuiba.
Amechukua hatua gani?
😄😄😄😄Leo watajisaidia kitandani hii hotuba inawachoma sana na kunawatu wamezima tiv wameingia chumbani kulia saizi.😂😂😂😂😂
Sasa hivi Mheshimiwa atakuwa anaandaa hotuba nyingine ya Mei Mosi.Angeshungulika na swala moja baada ya lingine subir akipata hotuba ingine uone mapya yatayo Semwa umo Maswala ya Bandar na mishahara atakua kyamaliza tayar atakuja na Ahad mpya