atcl

Air Tanzania is the flag carrier airline of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Nilitegemea katika siku ya gawio rais apokee gawio kutoka TANESCO, TTCL, ATCL, TRC ambao hawakutoa gawio na sio yeye kupewa tuzo.

    Siku ya kutoa gawio kwa serikali ni siku ambayo rais alipaswa kuichukulia kama accountability day kwa mashirika yote ya Umma. Ni siku ambayo mbivu na mbichi zinapaswa kuanikwa na pengine watu kuchukuliwa hatua kwa kutotoa gawio lolote. Lakini katika siku hiyo mwaka huu TANESCO, TTCL, ATCL, TRC...
  2. O

    ATCL Yazindua safari za mwanza - dodoma, abiria 1300 kwa siku

    ATCL YAZINDUA SAFARI ZA MWANZA - DODOMA, ABIRIA 1300 KWA SIKU Shirika la Ndege Tanzania(ATCL), limezindua safari zake za utoaji huduma kati ya Mwanza -Dodoma ikiwa ni kurahisisha safari kwa watumiaji kwa njia ya anga. Safari hizo zilianza Juni 5,2026, ikitajwa kusaidia wafanyabiashara na...
  3. Room 28

    Kwanini Air Tanzania (ATCL) wanaogopa kuliweka shirika lake kwenye Hisa DSE?

    Soko la hisa ni system inayowawezesha wadau wengine kumiliki kuwa na umiliki wa kampuni. Wakati shirika la Precious Air limeweka kampuni yake kwenye soko la hisa, shirika kongwe zaidi halionekani likisogea wala kuthubutu kufanya hivyo! Swali linabaki KWANINI? Ni linahofia nini? Linaogopa nn sasa?
  4. Zack Abdul

    ATCL Yaanza Safari za Moja kwa Moja Dar-Moscow 2026

    HISTORIA INAANDIKWA! Kuanzia 2 Julai2026, Air Tanzania itaanza safari za moja kwa moja kati ya Tanzania na Moscow mara 3 kwa wiki kwa kutumia Boeing 787 Dreamliner. Tanzania imefungua njia mpya na fursa za biashara, utalii, uwekezaji na ushirikiano wa watu kwa watu kati ya Tanzania na Urusi...
  5. H

    ATCL kuanza safari za Urusi juni 2025 - Waziri Mahmoud Kombo

    ATCL KUANZA SAFARI ZA URUSI JUNI 2025 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), linatarajia kuanza safari za ndege kuelekea nchini Urusi mnamo Juni, 2026. Ameyasema hayo leo Mei 15, 2026 jijini Arusha...
  6. Zack Abdul

    ATCL Kuanza Safari za Moja kwa Moja Tanzania-Moscow 2026

    Ndege ya Air Tanzania ya abiria na mizigo, sasa rasmi, kuanza safari ya moja kwa moja kutoka Tanzania kwenda jijini Moscow, nchini Urusi kuanzia mwishoni mwa mwezi Juni, 2026
  7. Zack Abdul

    ATCL Yasaini Mkataba na Boeing Kuboresha Usimamizi wa Ndege

    Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limesaini makubaliano na kampuni ya Boeing yatakayowezesha ndege zake aina ya 737-9 na 787-8 kutumia huduma ya Fleet Link, hatua itakayosaidia kupata taarifa za uendeshaji wa ndege kwa wakati halisi, kurahisisha matengenezo, kupunguza gharama za usimamizi na...
  8. Mkalukungone Mwamba

    Watanzania 236 waliokwama Dubai kutokana na vita vinavyondelea kati ya Marekani Israel na Iran warejeshwa nyumbani

    Takribani Watanzania 236 waliokuwa wamekwama nchini Dubai kutokana na hali ya usalama Mashariki ya Kati wamerejeshwa nyumbani salama. Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) lilituma ndege maalum ya gharama nafuu kufuatia mivutano ya kivita kati ya Marekani, Israel, na Iran iliyosababisha mashirika...
  9. Cute Wife

    ATCL yasitisha safari za Dubai mpaka watakapotangaza tena kutokana na kinachoendelea Mashariki ya Kati

    Wakuu, Baada ya hali ya hewa kuchafuka mashariki ya kati ATCL imetangaza kusimamisha safari zake za kwenda na kurudi kutoka Dubai kwa muda mpaka pale watakapotangaza tena huku ikiendelea kufuatilia hali hiyo kwa ukaribu.
  10. Cute Wife

    ATCL yaomba radhi kwa kuchelewesha safari ya Mwanza-Dar Februari 21, yasema hali ya hewa ilikuwa mbaya

    Wakuu, ATCL imeomba radhi (hata kama tunajua ni ya mchongo) lakini Msigwa kapata nguvu za kumwambia Zungu mwana ukome:BearLaugh::BearLaugh:. Ila Zungu itakuwa alisahau kuwa serikali/chama kikizingua inabidi useme mitano tena🤣🤣, katoka nje ya script😂😂. Ila ATCL tuambieni, hivi shida ni nini...
  11. Cute Wife

    Msigwa amshukia Zungu, amwambia kulalamika kuhusu ATCL kuchelewesha safari ni uvunjifu wa sheria!

    Wakuu, Nacheka ka mazuri🤣🤣🤣 kwahiyo mtu akitoa povu lake taasisi/shirika linapozingua ni uvunjivu wa sheria? Nakojoaaaaaa😆😆😆😆. Chawa kafikiwa 😆😆 Kelvin Raphael (Zungu) alitoa povu lake jana baada ya ndege za ATCL kudelay safari, ambapo ATCL imekuja kuomba radhi muda si mrefu! Gerson Msigwa...
  12. The Burning Spear

    Official Zungu tulimsihi aache uchawa ona sasa anatukana, ATCL wamemsomesha namba kidogo tu

    GT Huyu dogo alijitia ujuaji sana wakati sisi tunaikosoa serikali kwa maovu yeye kajitia ujuaji na kuitetea. Sasa jana ATCL wamemsomesha namba kidogo tu na kuanza kutoa mapovu je ataomba msamaha kwa ATCL ngoja tusubiri... Na akae akijua haya ndo madhira wanayopitia watanzania wa kawaida...
  13. Heparin

    DOKEZO Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetelekeza Abiria Mwanza, hadi sasa hawajui hatma yao

    Safari yangu ya kurejea Dar es salaam baada ya kukamilisha kazi yangu Bukoba imeanza asubuhi ya Februari 21, 2026 kwa ndege TC 101, mali ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL). Kasheshe imeanzia uwanja wa Ndege wa Bukoba, hauna umeme. Baada ya kuwekwa foleni kwa masaa 3, baadae ilibidi wahudumu...
  14. Dalton elijah

    Kampuni ya ndege Tanzania ATCL imeongeza ofa ya Krisimasi

    Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) inayofuraha kuwaongezea wateja wake ofa nyingine, maalum kwa abiria wa ndani msimu huu wa sikukuu.
  15. A

    KERO ATCL wamepoteza mzigo wangu, na ukienda ofisini kwao hawatoi ushirikiano

    Niliagiza mzigo kutoka dar kuja kigoma jana tar 15/08/2025 kupitia ATCL kutokana na uharaka niliokuwa nao, ambapo mzigo huo ulifikishwa saa 4 asubuhi na ratiba ya ndege ilikuwa inaonyesha inaondoka saa 7 mchana ilikuwa inafika kigoma saa 10. Jioni nimeenda kufuatia mzigo huo nikaambiwa...
  16. DuaZaMama

    Ndege ya Shirika la ndege ATCL yatua Msalato Kwa majaribio

    Kwa mara ya kwanza, ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imetua katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya majaribio ya awali kabla ya kiwanja hicho kuanza rasmi kuhudumia Watanzania. Akizungumza baada ya kuipokea ndege hiyo, Waziri wa Ujenzi...
  17. GENTAMYCINE

    Rais Samia una hii Taarifa muhimu ya Umoja wa Ulaya (EU) kuzuia Ndege za ATCL kutua Ulaya yote kutokana na kutokuwa salama kwa Abiria na mbovu?

    Nilidhani Msemaji wako (wa Serikali) Gerson Msigwa angekuwa busy kutueleza Watanzania kwanini EU wamezuia Ndege zako Unazozifaragua nazo kila Siku za ATCL kutua nchi zote za Ulaya kutokana na kutokuwa salama kabisa kwa Abiria na badala yake yuko busy kutishia Watanzania wanaoandika Mitandaoni NO...
  18. Roving Journalist

    Mchechu: Kulikuwa na changamoto ya kiufundi ratiba za Ndege za ATCL kubadilika

    Akijibu hoja iliyoibuliwa na Mwandishi wa Habari kwenye kikao maalumu baina ya Ofisi ya Msajili wa Hazina na wahariri, kuhusu changamoto ambayo imekuwa ikijitokeza kwa nyakati tofauti kwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kushindwa kuzingatia muda na ratiba za safari, Msajili wa Hazina, Nehemia...
  19. Dalton elijah

    ATCL yafichua udanganyifu wa tiketi bandia uliofanywa na wakala wa Kariakoo

    Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imethibitisha kuwapo kwa udanganyifu wa tiketi za ndege uliohusisha wakala mmoja wa Kariakoo, anayefahamika kama Yasmin Ladha wa kampuni ya Space Travel. Wakazi 32 waliokuwa safarini kutoka Guangzhou, China, walibaini kuwa tiketi zao za kurudi hazikuwepo katika...
  20. Stuxnet

    ATCL yadaiwa Tsh 369 Bilioni wakati ndege zimeegeshwa miaka 7 bila kuruka

    DODOMA — Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) inakabiliwa na changamoto kubwa baada ya ndege nne za Airbus A220 kutokutumiwa kwa siku 279 hadi 721 kutokana na matatizo ya kiufundi na upatikanaji wa vipuri. Pia, ndege aina ya DASH 8 Q300 haijatumika kwa zaidi ya miaka saba licha ya kugharimu zaidi...
Back
Top Bottom