Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,854
- 46,605
Inasikitisha sanaWakurugenzi wa wilaya DED Halmashauri za wilaya hawatakuwa na tofauti, na uongozi wa hospitali hii ya serikali ya mkoa.
Inasikitisha sanaWakurugenzi wa wilaya DED Halmashauri za wilaya hawatakuwa na tofauti, na uongozi wa hospitali hii ya serikali ya mkoa.
Ukiwa umezaliwa na upumbavu lazima utakuwa mpumbavu tu.Nyie mtakuwa watu wajinga kwa asili au mnanufaika na CCM kama viongozi au watoto/ndugu za viongozi.
CCM ni zaidi ya shetaniNafikiri CCM kuondoka madarakani ni kwa mtutu wa bunduki pekee na sio kwa njia ya kidemokrasia.
Ukiona watu wanashindwa hata kuwaachia wenzao watoe pole kwa wafiwa, basi ujue hao ni maharamia wakubwa na wapo tayari kucheza michezo yote michafu mbele ya wapinzani wao bila chembe ya ya aibu.
Kwa mtu anayejua itifaki hawezi kuandika ulichokiandika..Hivi huyo Rais ni nani hasa? Ywye siyo mwanadamu? Basi mngetangaza kuwa wanadamu wote waondoke leo Hanang kwa sababu kuna kiumbe wa ajabu kutoka sayari nyingine atafika Hanang.