single mama

"Mama Africa" is the fourth single from Akon's second studio album, Konvicted. This song was originally on reggae singer Peter Tosh's 1983 album "Mama Africa." Later the song was remade by Hakim Abdulsamad, frontman of R&B 1980s band The Boys. The single was released to radio stations on May 15, 2007, before being officially released in the United Kingdom on July 30, 2007. The official remix of the track features 50 Cent. The lyrics are written as a homage to Akon's ancestral homeland, Africa. The song peaked at #47 on the UK Singles Chart, his second to do so, the first being "Pot of Gold". The track was B-listed upon its first airplay on BBC Radio 1. The single's artwork was designed by Chris Jarvis. A video for the song was filmed in October 2006, however, due to licensing issues, was not released. The video was later leaked to the internet in February 2009.

View More On Wikipedia.org
  1. sky soldier

    Kwanini vijana wengi walioharibika waliolelewa na mzazi moja hutokea upande wa single mama?

    Kuna wanaokuwa vizuri lakini tuwaangalie wale walioharibika Husika na kichwa cha habari, Katika wale vijana kuanzia miaka 15 ambao kimaadili wameharibika, ni kwanini wengi wamelelewa na single mothers?
  2. Prince kelly

    Kati ya single mama na Asiekuwa na mtoto Nani anafaa

    Hellow habari, nisiwachoshe direct niendee kwenye point . Nilikuwa na my girlfriend tukawa na mahusiano tumpatie jina prisca ambayo nilidumu nae almost 3 years kwenye relationship ukweli nilimpenda Ila alikuja nisaliti kwa mshikaji mmoja akampiga na mimba juu akanimwaga chini kwa madharau na...
  3. phil78

    Mrejesho kuhusu mtu aliyenipenda halafu kanizidi umri

    Jana niliweka uzi wa kuomba ushauri hapa kuhusu mtu alienipenda halafu kanizidi umri, ndugu jamaa na marafiki wakasema yao humu kuna walioniita mjinga, walionitukana na wakanisema vibaya ndgu zangu kwanza naomba mtambue. 1. Mimi sijampenda huyo binti ila yeye ndo alinitafuta na kutaka mahusiano...
  4. Girland

    Single mothers VS Wanaotoa ujauzito

    Je utachagua single mother au aliyetoa mimba? wapo wanaotoa mimba wakiamini haujafika muda sahihi wa kupata watoto, na wapo wanaovumilia na kujifungua na baadaye kuitwa single mothers. Utaoa yupi? Kwa ladies utachagua kundi lipi, Single mother au utatoa mimba?
  5. RRONDO

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me. One of my ex is a single mother. She has one lovely boy! From what i see her go through, my admiration and respect for her goes higher each day. Single...
  6. Ncha Kali

    Watoto wa "Single mama" jifunzeni kwa Diamond Platinumz kuishi na baba zenu wa kambo

    Ndiyo, nawakumbusha tu. Kila siku utasikia Anko Shamte piga YOPE! Anko Shamte! Ankali wa Taifa! Yaani hadi unatamani kabisa kuoa single mama. Hii si kwa bahati mbaya, kijana anamkubali baba’ke wa kambo. Na hii ndiyo furaha na tulizo la mama’ke. Sasa kuna hawa wengine, kuna muda hata salamu tu...
  7. Napoleone

    Huhitaji nguvu nyingi kumchanganya 'Single mama', fanya yafuatayo

    1. Kwanza hakikisha unacheza sana na mwanaye yaani mwanaye akupende. 2. Usipende kutoka nae viwanja hawapendi maana huwa wanawawaza watoto wao especially kama ana mtoto mdogo. 3. Vi-date vyenu fanyieni "indoor" yaani aje kwako au uende kwake. 4. Hakikisha zawadi kwa sana, za mwanae na zake...
Back
Top Bottom