Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
1. Kwanza hakikisha unacheza sana na mwanaye yaani mwanaye akupende.
2. Usipende kutoka nae viwanja hawapendi maana huwa wanawawaza watoto wao especially kama ana mtoto mdogo.
3. Vi-date vyenu fanyieni "indoor" yaani aje kwako au uende kwake.
4. Hakikisha zawadi kwa sana, za mwanae na zake. Yaani pipi, ice cream, pringles, vi toy na pizza vya kutosha.
Na yeye hakikisha zawadi zake ni mtungi wa gas, mchele, nyama za kuku ngombe samaki n.k. Atakuthamini sana ukimpelekea hivi kuliko kupeleka zawadi za sjui nguo, nguo za ndani, saa na maua. Atakuona bwege tu.
5. Hakikisha unaitandika kwelikweli ile kitu maana wanapenda sana.
Hayo ni machache sana niliyokuwa namfanyia singo mama mmoja zamani ila nilimuacha maana aliniganda sana kiasi kwamba nilikuwa sihemi.
Nimemkumbuka leo maana toka juzi ananitumia meseji kibao za mapenzi. Namwambia wee mama una balaa? Ananiambia sio kidogo.
Na tumeachana mwaka wa pili huu. Sasa sielewi niitandike tena ama vipi.
Nawasilisha.
2. Usipende kutoka nae viwanja hawapendi maana huwa wanawawaza watoto wao especially kama ana mtoto mdogo.
3. Vi-date vyenu fanyieni "indoor" yaani aje kwako au uende kwake.
4. Hakikisha zawadi kwa sana, za mwanae na zake. Yaani pipi, ice cream, pringles, vi toy na pizza vya kutosha.
Na yeye hakikisha zawadi zake ni mtungi wa gas, mchele, nyama za kuku ngombe samaki n.k. Atakuthamini sana ukimpelekea hivi kuliko kupeleka zawadi za sjui nguo, nguo za ndani, saa na maua. Atakuona bwege tu.
5. Hakikisha unaitandika kwelikweli ile kitu maana wanapenda sana.
Hayo ni machache sana niliyokuwa namfanyia singo mama mmoja zamani ila nilimuacha maana aliniganda sana kiasi kwamba nilikuwa sihemi.
Nimemkumbuka leo maana toka juzi ananitumia meseji kibao za mapenzi. Namwambia wee mama una balaa? Ananiambia sio kidogo.
Na tumeachana mwaka wa pili huu. Sasa sielewi niitandike tena ama vipi.
Nawasilisha.