Mwanzo nilikuwa hata kama sina bando nikiwa na line ya halotel naweza kuingia baadhi ya sites kama JF buree kabisa...lakini saiv inakataaa.
Nimejarib kubadili line ya mtandao mwingine nako ni holaaa!! Vp huduma imesitishwa au nini shida??
Wajuvi mnisaidie.
Mimi kama nasmile.nilijiunga 2011
Uzi wangu ninaokubali ni ule ni maswali gani hayajibiki duniani
https://www.jamiiforums.com/threads/ni-maswali-gani-unahisi-hayajibiki-duniani.651919/
Wakuu habarini,
Nimeamua kutoa punguzo kwa members wa JF au rafiki zao kwa wale wote wanaohitaji kufanya party fupi ya birthday au event yeyote isiyozidi watu 100 kwa muda wa masaa 2 hadi 3.
1. Utapata mziki pamoja na dj/mc
2. Ukumbi/eneo la kufanyia event yako.
3. Parking ya kutosha.
4...
Uwe maskini
Uwe tajiri
Uwe tilionea
Uwe sirionea
Uwe wa jana
Uwe wa kesho
Uwe wa leo
WOTE TUNAKULA BATA SAWA TU..NA WOTE TUNAKULA MSOTO SAWA TU!!
Tunatofautiana
-MUDA WA KUANZA au KUMALIZA
-MAHALI ULIPOANZIA AU ULIPOMALIZIA
-KIWANGO ULICHOANZA NACHO AU ULICHOMALIZIA
-IMANI ULIYOANZA NAYO AU...
-Ukimaliza kuoga kama maji yamebaki unajimwagia miguuni
-ukienda kanisani kutoa sadaka unaomba chenji kabisa hukohuko ulipotoka
-kuwa ijumaa ni siku ya biriani
-kuwa mwanaume hapaki mafuta makalioni
-vyombo vya udongo wanatumia wageni tu kulia chakula
-
-
-
-
Kiufupi hii kitu sina ujuzi nayo kabisa yaani ni 0%
Naona kila siku kwenye mitandao watu wanaongelea sasa sielewi kabisa.
Je, ni biashara?
Bitcoin ni nini?
Crypocurreny ni nini?
Watu gani wanaruhusiwa kujiunga/kumiliki?
Gharama zake na faida zake je?
Naombeni muongozo
inawezekana vp manispaaa ina gari moja tu la wagonjwa... inakosa ambulesi katika mechi muhimu kama hii
Au ni hujuma tu ili mbeya kwanza wapate ponti za bure
Mechi kuhairishwa kwa sababu ya kutokuwepo gari ya wagonjwa ni sheria ya kipuuzi..gari lilipata dharula ya kupeleka mgonjwa mechi si...
Simu iwe katika good condition.isiwe na shida yoyote....narudia tena isiwe na shidaa teyote....kuna 120000 hapa...isiwe tecno
Kama huna soma kimya kimya na upite pembeni..
Bajeti ni 120k nilonayo mfukoni hapa
Kila mtu ameumbiwa kifo..lakini sometime nahisi hawa wasanii mambo wanaimbaga yanafanyika/wanayafanya kweli ndio maana mwisho wao hua mbaya..yaani wanaugua kidogo tu chalii...au wengine unaamka asubuh unasikia tu mara ajali,mara wamechomana visu yaani dah.nina mifano michache...
Kafumania
Kafumaniwa
Presha ya Mkopo wa benki
Furaha ya Kupata ajira
Kaibiwa
Katuma ela nauli afu hajafika
Kaibiwa ela ya kamati ya harusi
Au kafanyaje?
Kwa wale walizoziona prison break au breaking bad
Naomba mnisaidie kunitajia movies zingine zenye maudhui kama yale..
Yaani akili nyingi,uharifu,ubabe n.k
Bei ya mteja ni 400k
Iwe nikon d 3100,3200 l,3300 na zinazoendana na hizo...
Au canon
Bajet ya mteja n 400k. Kama unayo na haina shida yoyote nichek 0679028418...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.