A budget is a financial plan for a defined period, often one year. It may also include planned sales volumes and revenues, resource quantities, costs and expenses, assets, liabilities and cash flows. Companies, governments, families, and other organizations use it to express strategic plans of activities or events in measurable terms.A budget is the sum of finances allocated for a particular purpose and the summary of intended expenditures along with proposals for how to meet them. It may include a budget surplus, providing money for use at a future time, or a deficit in which expenses exceed income.
Hon. Twaha Mpembenwe (MP from Kibiti): APPRECIATION NOTE to Madame Speaker, Dr. Tulia Akson to Appointing me to a position of Deputy Chairman to the Parliamentary Budget Committee
22nd April 2024.
APPRECIATION NOTE
Dear; Madame Speaker
I would like to express my gratitude first to Allah...
Jamani,
Naombeni mbinu za kuwa mchumi, nisitumie pesa hivyo, hali hii inanitesa sana.
Natafuta pesa kwa taabu mnoo. Yaani kuipata Ile 20,000 NI kazi Sana lakini nikiwa na pesa matumizi yangu ni mabya mnoo.
Yaani mwezi December Hadi February nafikir nimetumia zaidi ya 1M.
Juzi Jana na leo...
Heshima yenu wakuu.
Nina shida na second hand iPhone asap na budget yangu ni 650k so probably naweza kupata japo 11 pro max, and if I am fortunate enough basi brother au sister mmoja anaweza kunitunuku hata ka 12 kwa bei hiyo hiyo kama offer.
Be it as it may, nipo Unguja rn ila nitakuwa Dar...
Natafuta kiwanja Mbweni.
Bajeti yangu Mil.70.
Ukubwa at least 900sqm
SITAKI MADALALI.
Kwa mmiliki au anaemfahamu mmiliki anitumie picha na location kwenye WHATSAPP 0788 893364.
Just Whatsapp. NO CALLS
Sijawai kumiliki gari, nataman sana kumiliki ila kila nikijitahidi sifikii lengo.
Nataka ninunue hata used ya 10M. Niliweka kibubu kikafika 2.5M ila ni mwezi wa nne huu kimebakia 1.2M.
Nifanyeje na mimi nimiliki gari? Sitaki kukopa.
Salaam, Shalom!!
Wakati tukiendelea na maigizo ya kijana wa chama Fulani, Wananchi makini, wazalendo tusiokubali KUCHUKULIWA na upepo wa maigizo tumeendelea kuangalia Kwa makini ISSUES nyeti katika Nchi yetu.
Tulipokuwa tukichangia thread iliyosema :
"Bandari, ardhi na maliasili zetu ni Mali...
Wakubwa habari za mida tena, nahitaji ku jenga Gaming PC, kwa kutumia parts kutoka AliExpress. Mimi sina uzoefu na kazi hii na sijawai kufanya jambo hili nataka, kwanzia mwezi wa 12, nianze kuagiza parts moja moja kulingana na budget, kipato changu sio kikubwa kihivo.
Mchanganuo wangu ni kama...
Ni vilio tu huku, yaani waliopata angalau asimilia 2% ya Ada yao ni wale yatima au walemavu, ila wengine ni bumu tu.
Hii imekatisha sana tamaa ya wanafunzi kuendelea na elimu ya juu kwani wengi wanaopitia advance wanakuwa na hali ngumu za kimaisha.
Sifa tu kwamba wamewapa mkopo diploma afu...
The South Korean government announced on Wednesday that it plans to invest over 1.2 trillion won ($900 million) in artificial intelligence development in 2024.
The investment is part of the government's efforts to make digital technology a part of everyone's life and to position South Korea as...
1. Magari ya umeme kuwa 0% taxed.
2. Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru.
3. Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%.
Je, haya yatekelezeka kweli au ndio kiki za kisiasa tu?
LAWMAKERS have unanimously approved the Information, Communication and Information Technology’s spending plan for the next financial year 2023/24 as the State eyes to mainstream ICT into various sectors to boost development.
Out of the planned amount, a total of 30.5bn/- is for recurrent...
Wakuuu za sahizi nipo Dar nilikuwa natafuta PC
Au laptop nzuri ya 2.2M kama budget yangu
Nilikuwa naomba muongozo wa sehemu nzuri ya kuipatia na pia specifications zake
Napendelea kampuni ya dell
Nipo chuo 1st year napiga IS
Shukrani 👍☺️
Nimegundua ukitaka kujenga ukisubiri Pesa zijae hata kibanda hutajenga, Basi sasa mliojenga ama wenye malengo ya kujenga ila bajeti inabana tushauriane ni bidhaa zipi tuanze kununua mdogo mdogo ili kufanikisha ndoto ya kujenga.
Mfano Je ni wazo zuri kuanza kununua vitu vyenye gharama kubwa...
Iwe na hivi vitu
-4K
-120Hz(fps)
-55'/65'
-HDMI 2.1
Ata ikiwa USED imrad iwe kwenye condition nzr na box lake
Iwe kampuni yoyote ilimradi iwe na hvyo vigezo, karibun
Habari wakuu?
Kuna issue moja ya jamaa yangu ameniomba ushauri,anasema mara kwa mara anazinguana na mkewe coz ya masuala ya pesa za matumizi ya nyumbani.anasema kwa sasa mkewe ni hana mishe yuko tu home.
Jamaa kila mwisho wa mwezi anahakikisha kanunua mahitaji yote muhimu ya home, ananunua...
Org. Setting and Reporting
This position is located in the Administrative Section of the Registry of the United Nations Mechanism for International Criminal Tribunals (IRMCT) (Arusha Branch), the incumbent will work under the supervision of the Chief of Finance.
*Appointment of the successful...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.