boxing

Boxing is a combat sport in which two people, usually wearing protective gloves, throw punches at each other for a predetermined amount of time in a boxing ring.
Amateur boxing is both an Olympic and Commonwealth Games sport and is a standard fixture in most international games—it also has its own World Championships. Boxing is overseen by a referee over a series of one- to three-minute intervals called rounds.
A winner can be resolved before the completion of the rounds when a referee deems an opponent incapable of continuing, disqualification of an opponent, or resignation of an opponent. When the fight reaches the end of its final round with both opponents still standing, the judges' scorecards determine the victor. In the event that both fighters gain equal scores from the judges, professional bouts are considered a draw. In Olympic boxing, because a winner must be declared, judges award the contest to one fighter on technical criteria.
While humans have fought in hand-to-hand combat since the dawn of human history, the earliest evidence of fist-fighting sporting contests date back to the ancient Near East in the 3rd and 2nd millennia BC. The earliest evidence of boxing rules date back to Ancient Greece, where boxing was established as an Olympic game in 688 BC. Boxing evolved from 16th- and 18th-century prizefights, largely in Great Britain, to the forerunner of modern boxing in the mid-19th century with the 1867 introduction of the Marquess of Queensberry Rules.

View More On Wikipedia.org
  1. Captain Fire

    Wapi naweza kupata mafunzo ya Boxing au MMA kwa Dar es Salaam?

    Habarini wana jukwaa, Ningependa kupakua wapi naweza kupata mafunzo ya BOXING au MMA kwa Dar es Salaam.
  2. THE FIRST BORN

    Manchester United Yaendeleza Rekodi yakutokufungwa Siku ya Boxing Day Yaipasua Aston Villa 3-2

    Club Ya Manchester United Alimaarufa Mashetani Wekundu imepata Ushindi katika Mchezo wake dhidi ya Aston Villa ambapo Mchezo huo umepigwa katika uwanja wa Old Trafford. Aston villa walikua wa kwanza kutangulia kupata goli 2 kupitia kwa Captain McGinn na Dendoncker Lakin Man Unuted ikafanya...
  3. GENTAMYCINE

    Tusidangabyane 95% ya Watanzania 'Boxing Day' yetu ya leo tunaenda nayo kwa Mtiririko huu Ufuatao.....

    1. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya Kutokualikwa Krisimasi jana kutokana na Hali Ngumu ya Kimaisha iliyoko kwa 95% ya Watanzania 2. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya kutopata Hela ya Kutatua taabu zako za kulipia Kodi unakoishi, kujaza Mafuta Gari lako la Mkopo na Kulipia Chumba Gesti baada ya...
  4. Shimba ya Buyenze

    Kwa wapenda Masumbwi (Boxing): Weka picha au video fupi ikionyesha KO au TKO unayoifagilia sana

    Mchezo unajulikana kama Boxing. Kwa jina jingine huitwa "The Sweet Science". Naam! Ni masumbwi. Ndondi. Vitasa! Ni mchezo wa hatari, mchezo ambao unamuonyesha Homo Sapiens kuwa ni kiumbe wa aina gani. Unakuwa peke yako ulingoni na mpinzani wako. Huna mtu mwingine wa kumlaumu. Na ukizubaa...
  5. Mhaya

    Waarabu na Wazungu ni wabaguzi. Francis Ngannou anyang'anywa ushindi wa wazi

    Ni katika pambano la Masumbwi lililofanyika jana usiku katika ukumbi wa Boulevard Hall, katika jiji la Riyadh nchini Saudi Arabia. Watu wengi Duniani katika kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii wameonekana kuuzunishwa na matokeo ya pambano hilo la Boxing ambapo Bingwa mtetezi wa Masumbwi...
  6. BigTall

    Kampuni ya Hall of Fame Boxing yaishtaki Azam Media, yataka ilipwe Tsh. Bilioni 2 kwa kurusha maudhui kinyume na mkataba

    Kampuni ya Azam Media inashtakiwa Mahamani na Kampuni ya 'Hall of Fame Boxing and Promotion' ambayo inajihusisha na uandaaji wa mapambano ya ngumi za kulipwa wakiitaka iwalipe kiasi cha pesa Tsh. Bilioni 2 kwa kurusha hewani maudhui yao kwenye kipindi kinyume na makubaliano. Katika kesi hiyo ya...
  7. Hance Mtanashati

    Boxing ni mchezo wa hatari, huku watu hawafagilii ujinga kama kwenye michezo mingine

    Kuna hii tabia iliyopo kwenye boxing, huku kwenye boxing watu watakushabikia ukiwa unashinda tu, ukipigwa imekula kwako. Kwenye boxing shinda hata mapambano 100, ila kaa ukijua siku ukijichanganya ukapigwa basi tegemea kupoteza mashabiki zako zaidi ya 85%. Ukipigwa tena pambano linalofuata basi...
  8. Azniv Protingas

    Jamiiforum vs usiku vs boxing

    Wangapi tupo macho ambao tumekosa Usingizi tunapitia nyuzi za JF. Hapa kulala mpk saa 8 ndo usingizi unakuja. Nipo naangalia boxing lakini celewi nikaona niwape Hi wana JF. Kama upo macho tupia hata Hi hapo ili tuwe pamoja.
  9. BARD AI

    Bondia Hemed Rashid apigwa hadi kutapika na kuzimia Dar Boxing Derby

    Bondia Hemed Rashid amepoteza pambano kwa TKO dhidi ya Iman Bariki 'Man Chuga', baada ya kupoteza fahamu na kupelekea kushindwa kuendelea na mapambano na kukimbizwa hospitalini kwa gari maalum ya wagongwa. Bondia huyo alipoteza mchezo huo katika raundi ya nane katika pambano la Dar Boxing...
  10. T

    Boxing: Usiku wa vitasa

    Karibu katika uzi unaohusu boxing , mubashara kupitia Azam Tv
  11. Merci

    Pambano la ngumi kati ya Liam Smith Vs Hassan Mwakinyo

    Fuatilia pambano la masumbwi kati ya bondia wetu Hassan Mwakinyo dhidi ya Liam Smith leo tarehe 3 saa nne na nusu usiku huu kupitia link hii https://www.vipleague.st/boxing-sports-stream
  12. Merci

    Boxing: Liam Smith vs Hassan Mwakinyo

    Angalia pambano la ngumi kati ya Liam Smith vs Hassan Mwakinyo kuanzia saa nne na nusu usiku wa leo tarehe 3 kuptia link hii hapa chini. https://www.vipleague.st/boxing-sports-stream
  13. chiembe

    Mandonga ni fursa ya kufufua boxing, aangaliwe kwa jicho la kibiashara, anapromoti vizuri sana

    Binafsi niliacha kufuatilia ngumi baada ya checka na Rashid matumla kustaafu, lakini ni hivi karibuni naanza kufuatilia mchezo wa boxing kutokana na Tambo za mandonga. Kuna vitu kidoogo anavikosa, sponsors wakimuona, atakuwa vizuri. Huyu jamaa ni fursa ya kuunyanyua mchezo wa ngumi
  14. Deejay nasmile

    Tony Rashid vs Mahlangu ulingoni tena

    Ijumaa hii,25 feb 2022 wanarudiana tena..ikumbukwe pambano la kwanza Tony alipigwa. Sasa sijui safari hii anatuwakikisha vipi Watanzania
  15. Kasie

    Happy Boxing Day With Love 💖 From Us......

    Mabibi na Mabwana wa JF.... Kasinde na Mahabibi wake (Da.....) tunawatakia siku ya ufunguaji maboksi mwema. Yetu tushafungua tukiwa na pajama (Usiulize maswali, sina majibu) sasa twaenda sakata rhumba viunga vya baharini...... si kwa joto hili la Mbagala.... Enjoy your day, with...
  16. Merci

    Angalia pambano kali la ndondi (Boxing) kati ya Canelo Alvare vs Caleb Plant

    Wale wapenzi wa boxing unaweza kuangalia sasa pambano la Canelo vs Plant kupitia link hii Boxing : Canelo Alvare vs Caleb Plant - HesGoal.Com Sports News
  17. Albaab

    Dar Boxing Derby

    Pambano la sita 'super heavy weight' kati ya Hafidh Mlawa na Emmanuel Philimon lilikuwa kali sana!!! Ila kitendo alichokifanya bwana Emmanuel baada ya pambano kumalizika ni kibaya sana, dharau kubwa, ni cha kukemewa na BFT pamoja na wadau wote wa mchezo wa ndondi/masumbwi Tanzania. Pole sana...
  18. Ziroseventytwo

    Boxing heavy weight mbona Afe Ajagba hazungumzwi sana

    Hakuna cha Wilder, Fury, Joshua wala nani. Kwa sasa kuna mwamba m1 anaitwa Afe Ajagba. MnaNigeria huyo. Anapigana uzito wa juu. Baba! Ukimaliza round 3 wewe unabahati. Jamaa anapiga ngumi nzito. Kuna jamaa alikimbia pambano. Mpaka sasa hajapoteza pambano lolote. Ningependa kuona mapromota...
  19. screpa

    Mchezo wa Ngumi (Boxing) unaelekea kufa tena wasiporekebisha haya

    Kwa kipindi cha miaka kama miwili hivi mchezo wa ngumi ulionekana kurudi kwa kasi na kuanza kufuatiliwa na watanzania wengi kama ilivyokuwa huko nyuma enzi za kina Rashid Matumla. Hii ilichochewa kwa kiasi kikubwa na uwepo wa Mwakinyo ambaye alipata jina baada ya kumtwanga Mwingereza ambaye...
Back
Top Bottom