member

A member of parliament (MP) is the representative of the people who live in their constituency. In many countries with bicameral parliaments, this category includes specifically members of the lower house, as upper houses often have a different title. Member of Congress or Deputy is an equivalent term in other jurisdictions. Another term is Parliamentarian.
Members of parliament seem to tend to form parliamentary groups (also called parliamentary parties) with members of the same political party.

View More On Wikipedia.org
  1. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Hatari ya matumizi majina bandia,jf Rafiki yangu kafariki na alikuwa member hapa ILA sijui alikuwa anatumia jina Gani? JE sifi Leo nikifa mtajuaje?

    Mara ya mwisho nilikutana nae kwenye kijiwe chake cha wavuvi camp" fish point, huyu hakuwa Rafiki tu Bali alikuwa classmet wangu chuo kikuu. Tukiwa wavuvi camp,A.K.A Fish point uku tukiwa tunaisubilia kusasamvua lisamaki kubwa, tukaanza kubadilishana story, nakumbuka aliniuliza SWALI ili na ndo...
  2. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Newly sworn-in Member of Parliament of Masaka City abducted

    Hon. Nameere Justine has reportedly been abducted by an unknown group of individuals: Motive unknown Watch: Nameere was picked up around on Friday at around 8:30pm on her way to Liberation Square in Masaka City, as she was wrapping up a drive through the city after her swearing-in in Kampala...
  3. 100 others

    JamiiForums Tanzania Captain Tesha, Habil na Kabil ilikuwa si project ya Night walk ya Wana usalama Kama Baadhi Ya Member Wanavyopotosha

    Kuna huu uzi nimesoma. https://www.jamiiforums.com/threads/je-captain-tesha-habil-na-kabil-ilikuwa-project-ya-night-walk-ya-wana-usalama.2437201/page-2 Nimeona jinsi baadhi ya wadau wanavyopotosha , wakihalalisha maoni yao kana kwamba ni facts, kitu ambacho si kweli. Naomba nijibu kama...
  4. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Nlisema mimi kuhusiana na huyu Member. Mkasema Chizi M. Wewe Mkorofi. Sasa amethibitisha

    Wakati nawaambia kuhusu watu kuwa ni akina annabelle mkasema Chizi Maarifa wewe ni mkorofi unawachukia tu rainbow kiasi kila mtu unamwona ni papaya. Sasa someni. Ame advance kwa sasa ameamua kuwa verified kabisa na ameweka na Tangazo hapo. Aliye na macho na aone. Hii ndo Jamiiforums. Jamaa...
  5. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Karma is real. Member huyu sasa anapata tamu ya chungu yake. Matusi hayajengi

    Makebo ametukana watu sana humu bila aibu kwa muda mrefu sasa hivi mpila umemrudia yeye ili aone jinsi alivyotesa wengine.
  6. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Kama member anahitaji msaada wa msongo, aombe tu atasaidia na wanajamvi

    Huyu mwamba kila kinachotoka mdomoni mwake ni matusio from juma tatu hadi jumapili . Sio saa kumi na mmoja alfajiiri hadi usiiku wa manane. Haiwezekani mwanadamu wa kawaida awe wa matusi asilimia 90 ya muda wake. Kwa mwenendo huu ni ishu ya afya ya akili, msaidieni kijana huyu kama uongo ata...
  7. Funny boe

    JamiiForums Tanzania Onyo: Napiga marufuku kwa member yeyote yule kutoa like kwenye post au comment yangu yoyote

    Katika hili naomba niwataje kabisa Kwa members wote hasa Seran na min -me sitaki posts zangu kuwa mnazilike, mnafanya notification dashboard yangu kujaa sana na kujaza server za JF yetu tukufu NAIPENDA SANA JAMIIFORUMS..
  8. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania NimemMiss sana member Yoga popote alipo namsalimia

    Mzuka wana jamvi ? Rejea kichwa cha uzi sitaki mambo mengi.
  9. P

    JamiiForums Tanzania Member gani hapa JamiiForums ana makombora mazito ya maneno (matusi) ili niwe na tahadhari ninapojibazana naye?

    Nataka nijue nani anamakombora mazito humu ili nichukue tahadhari nyingi kabla sijamquote. namfahamu mmoja tu ambaye ni GENTAMYCINE Natanguliza shukrani.
  10. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Namtafuta member wa JF

    Wakuu habari za wakati huu Kuna member fulani tulifahamiana kupitia JF, Bahati mbaya Mimi ndo niliweka namba yangu kwenye moja ya thread ya member wa humu JF aliyowahi kupost... Wasifu wake yeye ni daktari (kulingana na ukaribu na maelezo tuliyowahi kushare kipindi tunawasiliana) tulishauriana...
  11. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania Kuwa member wa magroup ya wasapu ya walimu wasaka ajira inahitajika uwe na roho ya paka

    Kwani hii kada imelaaniwa? Yan waliopo kwenye ajira wanaafadhali ya akil kidogo kuliko hawa jobless, wengi ni wapumbavu grade A. Hawa watu kujifunza mambo mapya kwao ni kama kula nguruwe kwa ndugu zetu kobaz, hawa watu hawana walijualo lolote kuhusu mustakabali wao hasa kwenye kusaka ajira...
  12. Poker

    JamiiForums Tanzania Valentine imekaribia, ungependa member gani awe valentine wako?

    Februari 14 sio mbali sana, kama ungepata nafasi ya kumchagua mtu wa kuwa naye hiyo siku ya valentine ila kwa sharti awe member wa Jamii Forums, je? Ungemchagua nani na ungependa kwenda naye wapi kurelax.
  13. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda NRM dominates Uganda Youth Member of Parliament Races

    The National Resistance Movement(NRM) has demonstrated strong support among Uganda’s youth in the recent regional youth member of parliament elections for the term 2026-2031. NRM flag bearers all emerged as victors across all four regions of Uganda Eastern, Central, Western and Northern region...
  14. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ni member yupi una uhakika yupo katika ignore list ya wanachama wengi humu?

  15. O

    JamiiForums Tanzania Wakuu kuna member humu kawa adimu! Yu wapi?

    Wa kuitwa Tumia akili kapotelea wapi!? au alitandikwa ya kwenye masaburi wakati wa maandamano? Mbona utabiri wake umeenda alijojo? naambiwa jamaa uko alipo haamini kabisa kilichotokea, tofauti na mikwala yake, wajanja wamepindua meza! mambo ya elimu ya faraqi
  16. Rungwe88

    JamiiForums Tanzania Tuwape pongezi Platinum Member wa Jamii Forum kwa kilichotokea

    Asilimia kubwa ya hawa watu kwanza ni watu wazima inaweza umri wao ni kuanzia miaka arobaini au kuanzia miaka hamsini kuendelea, Tangu yatokee mauaji ya maelfu ya watanzania kuanzia Octoba 29 na kuendelea nimeona ID za platinum member nyingi zikitoa michango hapa JF kuliko wakati wowote ule...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Huyu member yuko wapi? JohnTheBaptist

    Simuoni hapa JF Yulo wapi?
  18. Crimea

    JamiiForums Tanzania Hivi member sijamuona kabisa humu na si kawaida yake

    Kuna huyu member mwenzetu Erythrocyte toka JF imefunguliwa sijamuona kabisa akikoment popote na si kawaida yake. Si vibaya kulizana maana shetani ameshika hatam
  19. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Nafikiri member kyagata kama hafanyagi makusudi basi anahitaji msaada wa sexual therapist

    Huyu jamaa makala yake ni ngono mwanzo mwisho, had post unakuta ya saa mbili saa tatu asubuhi yeye ni sex tu.
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Big up kwa member hamis77 kwa michango yenye facts na mantic

    hamis77 ni baadhi ya great thinkers wachache waliobaki JF Endelea kushusha nondo ndugu Kama vile hapo chini naona comments za "unajipongeza mwenyewe"😂😂😂
Back
Top Bottom