Vitu vya salon ya kiume vinauzwa viko Goba kwa moga
1.Kiti cha kunyolea 220,000
2.sink la kuoshea 200,000
3.vioo viwili kila kimoja 40,000
4.mashine za charge moja 45,000 na mashine ya waya 20,000 pamoja ya kuchongea 10,000
5.kochi 60,000
Mabechi mawili ya wateja kusubiria 100,000
6.kiti cha...
Nauza Gpu yangu ambayo nilinunua mwenyewe mpya ya gigabyte gt 1030, inacheza games nyingi za zamani 1080p low setting na games mpya kwa 720P.
-Vram 2GB Gddr5
-ulaji umeme maximum watts 30
-inaingia desktop yoyote sababu ni low profile.
-ina play video 4K 60fps.
Pia ipo processor ya i5...
VIWANJA, VIWANJA.
viwanja vinne vikubwa vinavyouzwa katika eneo la Turiani, Morogoro vyote vipo block b karibu na barabara kubwa,Viwanja hivi vina ukubwa wa square meter 1150, 1270, 1149, na 2478, vyote vina hati . Viwanja vimezungukwa na huduma muhimu kama maji, hospitali, na umeme.
Viwanja...
Ninauza furniture za ofisini, Meza 3 yaani Executive desk 1, Conference table 1 (ya watu 4), na reception table 1, Viti 7, vyote hivi bado viko katika hali nzuri.
Pia kuna Curtain blinds mbili, zulia na Partition ya ofisi milango miwili ya Aluminium.
Ofisi iko Mnazi mmoja Dar es salaam, vyote...
Viwanja vinauzwa, vipo Kibaha picha ya ndege, vimepimwa na miundombinu ya barabara, umeme upo. Vina offer. Vipo karibu na hospitali ya halmashauri ya mji Kibaha, pia shamba linauzwa lipo Kisarawe lina hekta moja na nusu. Kwa maelezo zaidi cont 0713 95 92 90
Habari za majukumu wanazengo
mada inajieleza. Viwanja vipo miti mirefu, Malimbe-Mwanza
Ukubwa 70×35m, kimoja kina hati ya ardhi na relevant document kinauzwa 55 mil.
Cha pili hakina hati sababu mwenye nacho hakumaliza process ktk halmashauri ya jiji akawa amefariki kinauzwa mil 32.
Vyote...
Wakuu habari ya muda huu
Vyote vipo katika hali nzuri.
Ukitaka kukagua Vipo Kikwajuni.
Bei ya jumla ni laki tano na elfu hamsini.
Godoro pekee bei ni laki moja na themanini alfu.
Kitanda pekee bei ni laki 3 na elfu hamsini.
Sababu ya kuuza:Anahamia bara mwenye navyo.
NB;Mimi sio vyangu isipokuwa...
Viwanja vinauzwa mbagala kongowe
Viwanja vimekatwa mara tatu
ukubwa Kwa vipimo ni mita 24 * 19 Kila kimoja
Viwanja vyote vipo ndani ya fensi upande mmoja
Bei Kwa Kila kiwanja kimoja ni 10million Tsh na maongezi yapo Kwa mbaaali.
Kwa mawasiliano Piga namba hizi
0688685707
0659446209...
Habari nauza viatu sio virefu sana wala vifupi sana, vimevalika mara moja tu, vinapatikana Dar-es-salaam. Bei ni 20,000/ size ni 37 kubwa hata 38 anavaa.
Karibuni
Viwanja vinauzwa Kibaha mji maeneo ya Lulanzi na msongola Mlandizi, vimepimwa na vina miundombinu ya barabara, umeme na maji ipo.
Vina ukubwa kuanzia sqm 1340 na kuendelea, vipo karibu na hospitali ya mji Kibaha, Lulanzi na pia ni karibu sana na shule ya secondary ya picha ya Ndege na pia siyo...
Mali inayouzwa: Nyumba ya kupangisha yenye jumla ya vyumba 3 na nyumba moja kubwa ambayo bado ujenzi wake unaendelea.
Ukubwa wa plot: futi 100*50 (465 sq metres).
Mahali: Chamazi, karibu na Azam Complex.
Inafaa kwa: Makazi na/au biashara
Contact person : 0693 750 391/0711 751 197 (Mr Ngunga)
Viwanja vinauzwa
1.Kimara suka umbali wa kilomita moja kutoka morogoro road,Ukubwa 20*20, Bei Tsh 11M.
2. Kimara temboni Umbali ni kilomita mbili kutoka morogoro road,Ukubwa 20*20,Bei Tsh 7M
Vyote vina hati ya serikali ya mtaa
Huduma za kijamii zipo
Vinafikika
Tuwasiliane Whatsapp +255...
Viwanja vitatu vipo pamoja vinauzwa Mkundi - Morogoro.
Vilipo: Unaingilia Shule ya Green City ni kama 2KM. Kutoka Mjini mpaka ilipo Green City ni kama 10KM. Kwa hiyo ni kama 12KM kutokea mjini, ukiwa unaelekea Dodoma. Hilo eneo linajulikana kama Nguvu Kazi. Baadhi ya Majirani wameshajenga...
Stuka ujanja ni ardhi new new site 2023[📍forodhani city.
Viwanja vipya Kisemvule Forodhani Cit,y wahi sasa mapema ujipatie kiwanja kwenye round about ya Forodhani City kwa 1,500,000 tu. Karibuni sana katika Mradi wetu mpya 📍Forodhani City, ujipatie kiwanja kilichopimwa na chenye hati miliki...
Vifaa vya saluni ya kike vinauzwa.
Vifaa vilivyopo ni Drayer za kukausha 2, Drayer ya mkono 1,
Drayer la stima 1,
kioo kikubwa kimoja,
rolas na tray ya rolas.
Bei Tsh. Laki tano (500,000/=) vinauzwa vyote kwa pamoja. (As a package)
Vifaa vipo Morogoro mjini.
Kwa mawasiliano zaidi 0688476770.
Vitabu zifuatavyo vinapatikana na vitaweza kukusaidia kwa kiasi kikubwa kupata elimu ya fedha na uwekezaji.
1. Increase your Finanncial IQ by Robert Kiyosaki
2. School of money by Olumide O Emmanuel
3. Cash flow Quandrant by Robert Kiyosaki
4. Guide to Investing by Robert Kiyosaki
5. Rich Dad...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.