Kama NI kweli uteuzi umefanyika kimkakati either kumkomoa Lema au kudhoofisha chama cha chadema basi mama atakua ametukosea Sana wananchi.
Sawa , uzuri wote Wana nguvu, mmoja mdomo ni mwingi mwingine vitendo vingi
Wanasema mmoja ni Mwizi WA magari mwingine Mwizi WA nyumba!!
Lema usiwe mnyonge!!!
Wakuu habarini za jioni!
Nafikiria kuanza mchakato wa kufunga ndoa na huyu mchumba wangu wa tangu vidudu Hadi Sasa, kutokana na Mambo kadhaa ambayo yapo nje ya uwezo wetu, naomba kufahamu utaratibu wa kufunga ndoa ya serikali upoje? Nikiwa namaanisha process za kufunga ndoa ya kiserikali upoje...
Ni matumaini yangu nyote mu wazima
Wahitimu tulitegemea kupata ahueni katika awamu hii ya sita baada ya mama Samia kuwa Raisi wa Tanzania
Lakini kwa dalili hizi za mabadiliko ya mawaziri Imani yetu inaendelea kufifia
Waziri Ndalichako kapigiwa Sana kelele, madhaifu yaliyojitokeza katika awamu...
Club ya CD De Agosto ya Angola imetumia ukurasa wake wa instagram kulalamika kwamba Wenyeji wao Namungo FC wanadhoofisha kikosi chao baada ya kupewa majibu kuwa Wachezaji watano wa De Agosto hawawezi kucheza leo kwasababu wana Corona.
Wachezaji wa De Agosto wanaoripotiwa kuwa na Corona ni...
USIONE SOO!
Usione soo kubeba vyeti vyako na kutafuta ajira ambazo hamnazo wanazitafsiri kama za kivivu.
Ulipambania alama na GPA, huu ni wakati wa kupambania ajira.
Kama hukuona aibu kubeba madaftari na vitabu kwenda shule, iweje leo uone aibu kubeba vyeti vyako?
Kumbuka mawazo makubwa...
Habari wakuu nataka ushauri nataka kununua pikipiki binafsi kwa ajili ya bodaboda ipi iko vizuri kati ya boxer 150 na tvs150?
- Kuanzia engine
- Fuels
- Speed
- Rough road na appearance
===
Boxer BM 150
TVS HLX 150
This was written by UiTM proffesor with the national sports board.He has been advising people not to wet the head and hair first when showering as this is wrong sequences.
This causes the body to adjust its temperature too quickly because we are wrm-blooded. By performing this incorrect...
JF Most famous members of all time
Kiranga Mshana Jr Sky Eclat Ushimen Victoire mitale na midimu Infantry Soldier Influenza Viol Zitto Bujibuji Pascal Mayalla Gyole Humble African Da'Vinci Invisible Malcom Lumumba mahondaw FaizaFoxy warumi
Most trending JF members
sifi leo Sijuti Return Of...
Wakuu Wasalaam,
Napenda kuwajulisha kuwa tarehe 23 mwezi huu naanza kusupply kuku wa kienyeji kutokea Singida kwa jiji la Dodoma tu.
Uwezo wangu wa kusupply kwa wiki itakuwa ni kuku 250, kuku 50 kwa kila siku yaani jumamosi hadi jumatano (250).
Hivyo basi nahitaji wanunuzi watano ambao kila...
Iwafikie wanawake wote wapenda fedha, wasio wavumilivu katika mahusiano na wanaume wao wenye kipato kidogo. If i don't get today, i go get tomorrow please wait me, its a matter of a time.
Rude boy kafanikiwa kutuaminisha kwa kiasi kukubwa ya kuwa mafanikio huletwa na kutokukata tamaa, juhudi...
Habarini wakuu
wakuu msaada tafadhali..
nina simu ya samsung j7 max nimeinunua hivi karibuni inanisumbua hatari, hadi sasa ninaiinstoll wasap inagoma inaandika watsap error, nimejaribu kuistore ili ianze upya lakin baada ya muda tatizo ni lile lile linajirudia
wakuu mwenye kujua mambo ya...
rafiki yangu, umelala? Fumbua macho tafadhali!! Japo kidogo tu John, nikuulize, nataka nikuulize kwanini usingenitafuta labda ningekuwa na kitu cha kukupatia, usingeweza chukua maamuzi haya…ni kweli nilikuwa mbali lakini simu yangu ilifanya kazi mda wote..wewe ndiye ulikuwa rafiki yangu wa pekee...
Hebu vuta picha, namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule ya msingi. Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule. Umekumbana na kashkashi za walimu ``wanoko``, ukiwona tu bandama zinacheza...
Rafiki na ndugu yangu mpendwa,
Nilikuja nyumbani kwenu kama tulivyohaidiana ili nipate kukuaga lakini kwa bahati mbaya nimekukosa, nilikuja kukuaga kwa kuwa hutaniona tena kwani nasafiri safari ya mbali sana. Baada ya kusubiri sana nimeamua kurejea nyumbani na ili kufanikisha safari...
habari wana JF
mimi ni mwanachuo, mzumbe university mwaka wa kwanza taking BAF PS nilifanikiwa kupata mkopo, naomben ushauri hivi boom nikisave naweza nikafanyia biashara pasipo kuathiri masomo yangu na matumizi yangu nikiwa chuo? ni biashara gani naweza nikafanya nikiwa...
Mdogo wangu ana division two yeye anataka aende EGM nimemshauri aende CBG kwani Physics aliharibu, hivi kati ya hizi comb ipi nzuri sana kwake na for his future EGM au CBG
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.