Umeshawahi kuendesha piki piki?yenye gear 5 ndo inakuaje mkuu
Boxer ipo vizulii kikazii... Ila tatizo la Boxer haitaji mizigo mikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nahitaji kununua Haojue kwa ajili ya misele na bodaboda kiasi.. naomba unipe ujanja ipi nzuri.Boxer 150 na tvs 150?
Chukua boxer 150
Ilabkama ni boxer 150 na tvs 125
Chukua tvs 125
Ila kama unakaa nje ya mji na unabeba mizigo chukua haojue (sio mayai) au sanlg
Kama UKO MJINI UNAJUA KUTUNZA KITU KAMA YAI chukua boxer
Kaha hauhitaji ghalama kwenye utunzaji chukua haojue au sanlg
* kama hauna uhakika na udereva wako jifunze kwanza kuendesha taratibu ukijua ndio ukanunue*
Usinunue za wizi (tunataka jamii forums iwe na wachangiaji wengi ukiwa jela utapunguza watu hum)
Na kama una mijihela nenda kwa kina honda ktm na wengine.......
Nitarudi baadae
Hiyo
Mbona ndani ya miezi hio tu umeichakaza.. bado iko poa mpaka sasa hivi?Hiyo
TVS 150 zina shida gani?Boxer 150 na tvs 150?
Chukua boxer 150
Ilabkama ni boxer 150 na tvs 125
Chukua tvs 125
Ila kama unakaa nje ya mji na unabeba mizigo chukua haojue (sio mayai) au sanlg
Kama UKO MJINI UNAJUA KUTUNZA KITU KAMA YAI chukua boxer
Kaha hauhitaji ghalama kwenye utunzaji chukua haojue au sanlg
* kama hauna uhakika na udereva wako jifunze kwanza kuendesha taratibu ukijua ndio ukanunue*
Usinunue za wizi (tunataka jamii forums iwe na wachangiaji wengi ukiwa jela utapunguza watu hum)
Na kama una mijihela nenda kwa kina honda ktm na wengine.......
Nitarudi baadae